Nimeolewa ama nimeoa? Naombeni ushauri

Nimeolewa ama nimeoa? Naombeni ushauri

Nakuombea utaratibu wako wa talaka uwende vema Kisha urudi sokoni

Kama mwanaume namuombea mwanaume mwenzangu kuwa utakapo pata talaka tu.

Milango ya mafanikio imfungukie huyo jamaa.

Kuna muda Mungu kabla ya kukupa mafanikio makubwa sana, anaondoka egemeo na tegemeo lako katika maisha

Ili katika ufukara na kukosa upate kujua uhalisia wa watu ili pindi atakapokuinua na kukufanikisha Tena, ujue yupi wa kuishia getini , yupo mwisho jikoni na yupi anapaswa kuingia chumbani
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Mbona wao huweza kutu hudumia vizuri hata kama hatuna kazi. Mvumilie tu ipo siku atafanikiwa. Unaweza ukaondoka na mambo yasiende vizuri.
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Fungua mafaili yako ya kumbukumbu. Huku mwekea limbwata ili akupende sana ? Siku zote madhara yake ndiyo hayo hataki kufanya kazi. Rudisha mrejesho ndiyo tupate pakuanzia
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
msaidie kumlea siku nae akipata atakusaidia, kwani kipindi cha nyuma alivokuwa anakuhudumia aliwaza kukuacha kisa wewe ni mzigo kwake?
 
Badae ukisha tafunwa sana, utarudi kwamtaraka wako "Ohoo Mme wangu nisamehe turudi tulee watoto"
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Pole sana mkuu...
Yasije yakageuka kama yaliyompata mwenzako kwenye movie ya crimony" (2018)
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
I stand for the DEFENCE of our fellow man

Je, haukuwahi kumchezesha michezo ya kupeleka nywele zake kwa fundi?
Hujawahi kumtajia fundi jina la mama yake?
Je, umewahi kukaa naye mkashauriana kama familia au ndo ile mwanamke akishakuwa na financial muscles basi anaweza hata kulinda sungusungu?
 
Wee Mbaga huwa unaniota eti?
Nikuseme mi nna mahusiano na wewe??
Na hiyo new id unayosema yangu una uhakika?

Mimi mke wa mtu bhana tuheshimiane kila mara nakwambia kwann husikii?!!
Yani wewe sijui ukoje nikuandikie uzi niseme live sikutaki ndo utasikia?? 😹😹😹
😆😆 Happy nyu yia
 
Mtego huo,,ruka kojo ukakanyage mavi,,na usikute ulimroga mwenyewe ili asichepuke,dawa zimemzidia unataka mkimbia.
 
Ukimtema tu kesho yake anapata lottery ya bilioni mbili na kazi anaitwa. Utaomba mrudiane. Haki sawa komaa
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Wewe sio mwanamke Bora! Alikosea kukuoa.
Wanawake wenye upendo wa kweli huwa wanaangaika nae na wanaume zao hadi kieleweke!
Iko hivi wanaume wengi wanapitia changamoto mbali mbali hasa changamoto za kiroho. Ningekuona wa maana sana kama ungeandika umehangaika nae kwenye upande wa rohoni kama kwenda kanisani kwenye maombezi, au wewe mwenyew kumuombea.
Huyo jamaa siku akija kupata msaada wa kiroho na akapona na ukishamwacha huwa wanafanikiwa sana.
Huenda Kalogwa e.t.c mwanaume sio rahisi kukataa kazi tu au kuacha kazi pasipo sababu.
 
Wewe sio mwanamke Bora! Alikosea kukuoa.
Wanawake wenye upendo wa kweli huwa wanaangaika nae na wanaume zao hadi kieleweke!
Iko hivi wanaume wengi wanapitia changamoto mbali mbali hasa changamoto za kiroho. Ningekuona wa maana sana kama ungeandika umehangaika nae kwenye upande wa rohoni kama kwenda kanisani kwenye maombezi, au wewe mwenyew kumuombea.
Huyo jamaa siku akija kupata msaada wa kiroho na akapona na ukishamwacha huwa wanafanikiwa sana.
Huenda Kalogwa e.t.c mwanaume sio rahisi kukataa kazi tu au kuacha kazi pasipo sababu.
👏🏾
 
Hivi
I stand for the DEFENCE of our fellow man

Je, haukuwahi kumchezesha michezo ya kupeleka nywele zake kwa fundi?
Hujawahi kumtajia fundi jina la mama yake?
Je, umewahi kukaa naye mkashauriana kama familia au ndo ile mwanamke akishakuwa na financial muscles basi anaweza hata kulinda sungusungu?
Kumbe limbwata ni siriazi mkuu maana Ata mimi kuna yan nashindwa kumsahau
 
Mtego huo,,ruka kojo ukakanyage mavi,,na usikute ulimroga mwenyewe ili asichepuke,dawa zimemzidia unataka mkimbia.
Ndo nimemwambia hapo wanaume wanapitia changamoto mbalimbali zinahitaji mwanamke shupavu ambae anajua pia mambo ya Rohoni sio mwanamke anafurahia kuletewa hela tu! Jamaa pengine kachezewa huko kazini, mizungukoni, ndugu au wanawake/michepuko..e.t.c

Huyo jamaa akipata mtu wa kumsaidia mambo ya rohoni iwe kwenye maombezi au vyovyote kutokana na imani yake atarudi kwenye mstari na Mungu huwa anawainua maradufu watu kama hao.
Huyo jamaa Kalogwa! Tatizo lake ni la rohoni.
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Muache mtafute mwenye kazi
 
Wewe umeshaamua tayari,ila tatizo lenu ni pesa.Bila shaka uliolewa na mwanamume ambaye hukumpenda kwa dhati,pengine ulipenda kazi yake ama kipato chake.Wanawake wa sampuli hii wanavimelea vya ukahaba ndani yao.wanaweza kufanya chochote mradi wapate pesa.Yupo radhi hata kutoa rushwa ya ngono kwa bosi ili ampatie Fursa Fulani ya kimaisha.Kwenye haya maisha Mungu ndiye hupanga hatma ya Kila jambo,ishi kwa kufanya wema hufahamu ni lini pengine utapata ajali na kupoteza uwezo wako wa kufanya kazi.Fikiria kama ni wewe ndio ungekuwa unafanyiwa hivyo na mwanamume wako?siku akifanikiwa utarudi? Au akijiua unajisikiaje!,nakushauri utafute njia halali za kutafuta kipato ,hata kama utaomba talaka bado utaolewa na kuachika kwa sababu kama hizo
 
Ndo nimemwambia hapo wanaume wanapitia changamoto mbalimbali zinahitaji mwanamke shupavu ambae anajua pia mambo ya Rohoni sio mwanamke wa kuhudumiwa na kufurahia.

Huyo jamaa akipata mtu wa kumsaidia mambo ya rohoni iwe kwenye maombezi au vyovyote kutokana na imani yake atarudi kwenye mstari na Mungu huwa anawainua maradufu watu kama hao.
Huyo jamaa Kalogwa! Tatizo lake ni la rohoni.
lakini ni vema hata huyu dada kaja kuomba ushauri kabla ya maamuzi magumu zaidi, ingawa yapo ambayo ameyaamua tayari.

Naamini akipitia comments kuna kitu atapata,huenda hata yeye alikua gizani pia.
 
Back
Top Bottom