RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Umeshindwa kuwa Resilient sio!!?
Pole uatajutia maamuzi yako!
Pole uatajutia maamuzi yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wao huweza kutu hudumia vizuri hata kama hatuna kazi. Mvumilie tu ipo siku atafanikiwa. Unaweza ukaondoka na mambo yasiende vizuri.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Fungua mafaili yako ya kumbukumbu. Huku mwekea limbwata ili akupende sana ? Siku zote madhara yake ndiyo hayo hataki kufanya kazi. Rudisha mrejesho ndiyo tupate pakuanziaHabarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
msaidie kumlea siku nae akipata atakusaidia, kwani kipindi cha nyuma alivokuwa anakuhudumia aliwaza kukuacha kisa wewe ni mzigo kwake?Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Wanasema Soko bovu sana, Kama tu watoto wa 2000s sa hivi wana 25. Easy to say Furahieni Wrinkles zenu na Mr" nioge nirudi sokoni"
Pole sana mkuu...Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
I stand for the DEFENCE of our fellow manHabarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
😆😆 Happy nyu yiaWee Mbaga huwa unaniota eti?
Nikuseme mi nna mahusiano na wewe??
Na hiyo new id unayosema yangu una uhakika?
Mimi mke wa mtu bhana tuheshimiane kila mara nakwambia kwann husikii?!!
Yani wewe sijui ukoje nikuandikie uzi niseme live sikutaki ndo utasikia?? 😹😹😹
Wewe sio mwanamke Bora! Alikosea kukuoa.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
👏🏾Wewe sio mwanamke Bora! Alikosea kukuoa.
Wanawake wenye upendo wa kweli huwa wanaangaika nae na wanaume zao hadi kieleweke!
Iko hivi wanaume wengi wanapitia changamoto mbali mbali hasa changamoto za kiroho. Ningekuona wa maana sana kama ungeandika umehangaika nae kwenye upande wa rohoni kama kwenda kanisani kwenye maombezi, au wewe mwenyew kumuombea.
Huyo jamaa siku akija kupata msaada wa kiroho na akapona na ukishamwacha huwa wanafanikiwa sana.
Huenda Kalogwa e.t.c mwanaume sio rahisi kukataa kazi tu au kuacha kazi pasipo sababu.
Kumbe limbwata ni siriazi mkuu maana Ata mimi kuna yan nashindwa kumsahauI stand for the DEFENCE of our fellow man
Je, haukuwahi kumchezesha michezo ya kupeleka nywele zake kwa fundi?
Hujawahi kumtajia fundi jina la mama yake?
Je, umewahi kukaa naye mkashauriana kama familia au ndo ile mwanamke akishakuwa na financial muscles basi anaweza hata kulinda sungusungu?
Ndo nimemwambia hapo wanaume wanapitia changamoto mbalimbali zinahitaji mwanamke shupavu ambae anajua pia mambo ya Rohoni sio mwanamke anafurahia kuletewa hela tu! Jamaa pengine kachezewa huko kazini, mizungukoni, ndugu au wanawake/michepuko..e.t.cMtego huo,,ruka kojo ukakanyage mavi,,na usikute ulimroga mwenyewe ili asichepuke,dawa zimemzidia unataka mkimbia.
Muache mtafute mwenye kaziHabarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
lakini ni vema hata huyu dada kaja kuomba ushauri kabla ya maamuzi magumu zaidi, ingawa yapo ambayo ameyaamua tayari.Ndo nimemwambia hapo wanaume wanapitia changamoto mbalimbali zinahitaji mwanamke shupavu ambae anajua pia mambo ya Rohoni sio mwanamke wa kuhudumiwa na kufurahia.
Huyo jamaa akipata mtu wa kumsaidia mambo ya rohoni iwe kwenye maombezi au vyovyote kutokana na imani yake atarudi kwenye mstari na Mungu huwa anawainua maradufu watu kama hao.
Huyo jamaa Kalogwa! Tatizo lake ni la rohoni.