Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkataa pema, pabaya pana muita.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Wee Mbaga huwa unaniota eti?
The good man is hard to find and hard man is good to find and remember the glass is greener when you water it. Thanks uHabarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Njoo pm uniseme ndo ntasikia 😎Wee Mbaga huwa unaniota eti?
Nikuseme mi nna mahusiano na wewe??
Na hiyo new id unayosema yangu una uhakika?
Mimi mke wa mtu bhana tuheshimiane kila mara nakwambia kwann husikii?!!
Yani wewe sijui ukoje nikuandikie uzi niseme live sikutaki ndo utasikia?? 😹😹😹
Aliyekudanganya ukiolewa mzigo wote wa kifamilia ni wa mwanamme ni nani? Unataka kumwacha kwa kuwa hana kazi au hapendi tu kufanya kazi kama vijana wa Dar?Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.😒Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Uoge urudi sokoni.¡!!! Sawanitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri
Akili mlizoumbwa nazo wanawake ni shida sana.Wewe ungekuwa umeolewa na hauna kazi wala mumeo asingelalamika.Naishia hapo.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Hadi wameoana bado wanatumia akili za wengine?Je wazazi/wakubwa wenu wanechukua hatua gani?
Mtoto hajui kwa wazazi
Wewe ndo umeoa, sasa mbona unataka kukimbia majukumu?Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
😂Yuko sokoni, si unaona anasema ngoja aoge arudi sokoni
Mi nadhani utakosea au unakosea sana kumfanyia ulomfanyia kuna haja ya kumpambania akarudi kwenye normal maana inavoonekana hayuko sawa kuna mambo kafanyiwa hasa ya kishirikina saidiana na ndg zake kumkwamua.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Una matatizo makubwa wewe,wakati ana kazi ulikuwa unachekelea Leo hii mwenzio Yuko na changamoto unatuuliza umeona au kuolewa,jibu unalo wewe.Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.
Huyo atakua karogwa sio bure anahitaji msaadaHabarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,
Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.
Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.
Naombeni ushauri.