Nimeombwa hela ya kusukia

Sasa ndugu yangu mzinga wa buku 30 tu unakuja kuanzisha uzi? Siku ukipewa kisoda utavumilia kweli?
Stara na uvumilivu ni sifa moja kubwa ya kiume, kinyume na hapo ni dalili za ushoga...
 
Sasa ndugu yangu mzinga wa buku 30 tu unakuja kuanzisha uzi? Siku ukipewa kisoda utavumilia kweli?
Stara na uvumilivu ni sifa moja kubwa ya kiume, kinyume na hapo ni dalili za ushoga...
Kisoda?
 
Umeyataka, mtatongoza mpk mashetani, Shenzi type, type ya Shenzi!
 
Shida ni nini........?......
Ni elfu 30 huna.......au unasikia uchungu kutoa...........?......
 
Wewe!!!najua kutongoza vizuuri tena ile style ya kizamani.....naanza kwa kukuangalia halafu nacheka kidogo,halafu naanza "bibie hujiskii njaa?.......
Halafu akisema anaskia njaa unakuja mbio kulalamika? Unatania.
 
Mkuu mwambie aje magheton aichukue
 
Sasa akikuomba umchangie Damu itakuwaje hapo...! kama tirty imekushinda... Ila Usawa wa Magufuli unajifikiria mara mbili mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…