Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Hasa nyie mnataka wanawake wanini na kugharamia huwezi,yani 30 tu una mblck je ungeombwa vikubwa zaidi ya hiyo?mjini hamna cha bure,huu mchezo hauwitaji hasira
hahaha kwani ameuziwa nini mpk amchaji 30,000?
 
Ushasema nipe nikupe,kwahiyo wewe unataka kugegenda tu alafu matunzo ampe nani?acha hizo hadith za sungura na fisi,mjini akili,kijijini kulima,nyie mnatak kugegenda tu alafu umkiona madem wanavutia ndo mnawatak muwe nao hujui nani anagharamia,yani km kituo cha kulelea wasiojiweza nn,
Mkuu sijakuelewa..
 
Ushasema nipe nikupe,kwahiyo wewe unataka kugegenda tu alafu matunzo ampe nani?acha hizo hadith za sungura na fisi,mjini akili,kijijini kulima,nyie mnatak kugegenda tu alafu umkiona madem wanavutia ndo mnawatak muwe nao hujui nani anagharamia,yani km kituo cha kulelea wasiojiweza nn,
hahhaaaaaahhhaaaa!!duuhh!
 
Back
Top Bottom