Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

S
hahaha kwani ameuziwa nini mpk amchaji 30,000?
yani kwa hali hii ya magufuri hakuna cha bure,sidhan km kuna ubaya kumsaidia mtu unayempenda,ila jamaa kaombwa tu ela ya kusuka katoka nduki,sasa alitegemea nan amsaidie na wakat yy ndo mpenz wak
 
S
yani kwa hali hii ya magufuri hakuna cha bure,sidhan km kuna ubaya kumsaidia mtu unayempenda,ila jamaa kaombwa tu ela ya kusuka katoka nduki,sasa alitegemea nan amsaidie na wakat yy ndo mpenz wak
Wewe mpenzi wa nani?
 
Hasa nyie mnataka wanawake wanini na kugharamia huwezi,yani 30 tu una mblck je ungeombwa vikubwa zaidi ya hiyo?mjini hamna cha bure,huu mchezo hauwitaji hasira
mnajishushia heshima we watu mmeonana gizani mara unataka elfu 30 umalaya huo
 
Alafu hii tabia ya kusafiri,alafu ukakaa na mwanaum pemben yako yani lazima tu mwanaume atamtongoz mwanamke,na sio kwamba amempenda kweli yani huwa najiulizaga sana,sijui ni tamaa,au ni vp,tena huyo bi dada kakukosea yani kachelewa ili bidi humo humo kweny bus akuombe lunch kwanza,yan km mimi najua hapo amna upendo km yy amenichukulia poa,mimi pia nakuchukulia poa,so ningeanz kuku bp na luch uninunulie,alafu ela ya kusuk ingefata kesho yake
 
S
yani kwa hali hii ya magufuri hakuna cha bure,sidhan km kuna ubaya kumsaidia mtu unayempenda,ila jamaa kaombwa tu ela ya kusuka katoka nduki,sasa alitegemea nan amsaidie na wakat yy ndo mpenz wak
Mpenzi wa nani jamaa?
 
Back
Top Bottom