dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Acha upumbafu wee naona ujakuwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh kwani nilivyojiona kunyima k kwa watu mf. Tra ,tanroads sinashida hadi leo??Kwan papuchi ni kitu ya kutoa hovyo hovyo kweli?
Ww ni mwanaume unajidai mwanamke, acha kuwa unaquote comment zangu nilizowalenga wanawakeEh kwani nilivyojiona kunyima k kwa watu mf. Tra ,tanroads sinashida hadi leo??
Sawa ila wewe ni mwanamke ndio maana nimecomment kukulenga wewe utoe mtaroooWw ni mwanaume unajidai mwanamke, acha kuwa unaquote comment zangu nilizowalenga wanawake
Namshangaa huyu kjn kwakwlSasa dushe ni kitu ya kumnyima mtu kweli?
MbujimayiHii imetokea hapohapo Lubumbashi au France mkuu?
Mawazo ya design hii mara nyingi (sio mara zote) yanakuja~ga umri ukiwa umesogeaTumia ndom tu wenzako tumekaa tukikataa kuliwa sasa hali zetu ni bure kabisa
UKIMWI upo. Kuwa makiniYaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana
Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
Vip mkuu ur no longer participate..Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena
Kuna watu wakisikia neno ngono (kujamiana) akili zao hazifanyi kaziSasa dushe ni kitu ya kumnyima mtu kweli?
"Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa..."Yaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana
Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
Mwanaume rijali kukataa mgegedo atakuwa na shida fulani ya kibaiolojia. Hebu nenda haraka kwa daktari ukacheki inawezekana unadalili za ushoga/upinde na hujijui.Yaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana
Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
[emoji1787][emoji1787]Sasa dushe ni kitu ya kumnyima mtu kweli?