Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Sasa si ukubali tuTumia ndom tu wenzako tumekaa tukikataa kuliwa sasa hali zetu ni bure kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si ukubali tuTumia ndom tu wenzako tumekaa tukikataa kuliwa sasa hali zetu ni bure kabisa
Kananga..Mbujimayi
😀😅😅Kumuwasha dushe na kupiga papuchi zina maana mbili ama ni moja?
Ni Kabwili FC huyoAnasema angekuwepo mwanaume rijali asingekataa. Je yeye sio riz-ki!? Ni chak-la?
Excluding Wazee, Wazee mara zote tuna wivu hivyo hatutavumilia kupangwa foleni 😜Kesho itagubikwa na foleni ya wanaume tupu
Ukifika umri huu tulionao Wazee, huna jinsi zaidi ya kubaki kucheza na Wajukuu tu 🤗Si wanasema hazeeki maini
Nchini GuamHii imetokea hapohapo Lubumbashi au France mkuu?
Tupe na vitafunwaYaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana
Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuopo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
Mtapewa kipaumbele kama ilivyo kawaidaExcluding Wazee, Wazee mara zote tuna wivu hivyo hatutavumilia kupangwa foleni 😜
Kumbe wewe siyo mwanaume RIJALI?? Huyo mwanamke akujua ndiyo maana akataka kukupa papuchi, akajua huna moto. Pole sana.Ama hakika angekuwepo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Hahaha.........Mungu atupe nini Wazee 😜Mtapewa kipaumbele kama ilivyo kawaida
Mwamwamwaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁Mawazo ya design hii mara nyingi (sio mara zote) yanakuja~ga umri ukiwa umesogea
Too good to be true.Yaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana
Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuwepo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.
Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
Tulieni nyumbani wazeeHahaha.........Mungu atupe nini Wazee 😜
NAKAZIAHii sio chai ni pilipili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ina mana alitaka kukulawiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vip mkuu ur no longer participate..
Yan ushatuleft kwenye grup