GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
We gaidi tu huna cha maana ulichoandika humu utetezi wa kitoto kabisaKwani huoni !? Hata wew ni mjinga unadanganywa kabisa
I tag
We shoga hauna jipya na hujielewiWe gaidi tu huna cha maana ulichoandika humu utetezi wa kitoto kabisa
Ndio harakati hizo za kudai uhuru.IDF lipo huko linafanya kazi yake sawasawa
Israel wanawamudu ndio maana wapalestina wanahamishwa hamishwa makazi kama wanyama
Mara nendeni kusini,mara kaskazini mpk mwisho wa enzi watakua na maisha ya kutangatanga,hakuna uhuru watakao kuja wapewe hata siku moja.
Nice pfpHamas ndiyo mashetani wenyewe
Ni kamkakati kao kakishenzi na mataifa ya kishenzi kutaka kufanya Israel kuonekana kama haijawah kuwepo.These idiots wanajaribu kufuta Jewish history in the Levant region. Please don't argue with them
Ungekua una akili ungechukizwa na matendo ya israeli dhidi ya wapalestinaYou're Hamas sir.....it's that simple
I believe ana link na terror groups. Utakuta sisi wengine tutakemea Israel hata wakifanya makosa yeye Hamas does nothing wrong. Please ignore herNgoja aje Yule Dada Mujahidina, atasema Video ya kutengeneza.
Wewe bibi kikongwe shetani mkubwa funga domo lako.Si mlisema kashikwa mateka?
Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.
Hollywood hiyo.
Unaongea ujinga mtupu. Israeli haikuwepo kabla 1948 . Palestina ina haki ya kupigania uhuru wa taifa lake.Ni kamkakati kao kakishenzi na mataifa ya kishenzi kutaka kufanya Israel kuonekana kama haijawah kuwepo.
Kuipinga Israel, ni Kumpinga Mungu.
TUNDU A LISSU, KWA UJINGA WAKE HUO , ASAHAU KATAKATA KUA RAIS WA JMT, ASAHAU KATAKATA, HATA KAMA CCM ITAKUJA KUONDOKA MADARAKANI, HATOKAA KAMWE KUA RAIS, KWA SABABU HIII TU YA KULIKUFURU TAIFA LA ISRAEL.
URUSI ni URUSI, ila hawaikufuru Israel, UCHINA pamoja na uwekezaji wake Kwa Waarabu, ila hawaikufuru Israel.
Wewe ni nani ??.
Hiyo biblia yako inakufundisha kuwa unatakiwa kuwahurumia watz wenzako ila wa nchi nyingine hawatakiwi kuhurumiwa?Taifa lipo kwenye majonzi mtanzania mwenzetu kauwawa kikatili wewe unaendeleza mabishano yasiyo na tija, unajua kabisa hio ni siku ambayo magaidi yalivamia Israel na kuua watu kinyama ila unajizima data.
Kumbe kuna terrorists humu!?!?[emoji276]Jamani kuanzia sasa hivi let's not engage na terrorists na comment zao. Ignore them. They love attention just ignore