Daaaaa hawa jamaaa balozi wao afukuzwe mara moja.................afai kubaki tanzania tena
 
Huijui historia wewe, Israeli ni ardhi asili ya wayahudi na sio hao the so called wapalestina au waarabu , rejea historia uisome uielewe
 
vipi tukianza kudeal na wapumbavu wanaoshabikia ugaidi hapa kwetu
 
Unadhani ni inawezekana kuwafuta Hamas hapo Gaza ?....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…