...afu clip imekatwakatwa vipande.

Aya mambo ya vita + hizi media Acha kabisa...

Anyway vita ni vita haichagui wapi pa kupiga na yupi.....imesomba vitoto,vizee,wagonjwa na vijana wengi uko Palestina
Nadhani huu utopolo umeandika hivi kwa sababu aliyeuawa ni Mkristu,
 
Huna hoja
Hamas kamatieni hapo hapo
 
Ndio maana leo Yemen anapozuia meli kupita red sea inaathiri dunia nzima hata ambao siyo waraabu wala waafrika.

Hao mgambo na serikali ya Yemen hawana ubavu wa kuzuia meli, ugaidi wao utakomeshwa ndani ya muda mfupi.

Sheria za bahari za kimataifa zinaifanya Yemen na wahuni mambo wa Houthi kujiweka ktk nafasi ya kupata vipigo toka mataifa yenye uwezo wa kuhakikisha sheria za bahari kimataifa zinaheshimiwa.

Muda siyo mfupi US, Denmark n.k vikosi vyao vya majini vitaanza kuwashughulikia kama HAMAS inavyopigwa muda huu.

Tufts University
https://sites.tufts.edu โ€บ chapter-six
Chapter 6: Maritime Security, Convention on the Law of the Sea

Maritime security supports an international order that is maintained through rule of law, and relies upon clear regulation of, and adherence to, the



View: https://m.youtube.com/watch?v=mALhZGbopR8
 
Pamoja na kusali Swala 5 kwa siku,mkitoka hapo mnaua na kurusha mabomu makanisani
๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†
Mabasha zenu huko mnawatetea wameuwa watoto zaidi ya 8000 wanafiki wakubwa mnajifanya mnauchungu kumbe mna chuki kali mno na Waislam.
 
Nendeni mkawasaidie israhell kuwafuta hamas basi kama munaweza
Maana hao walokua tegemeo lenu washachemka
Wamechemkaje hebu elezea

Hao Palestine wanaohamishwa hamishwa kama mifugo toka 1948 na Israel anaejitawala nani kachemka
 
Hiyo ni tar 7/10 na hakukua na mapambano yoyote. Tusitafute utetezi dhaifu. HAMAS wamezingua sana kumuua dogo asiye na hatia.

Let them get fire
Wanaojua kiarabu watutafsirie hapo dogo alikuwa anaulizwa nini
Hakuwa na kitambulisho hata cha NIDA
 
Maneno haya tushayazoea
 
Wamechemkaje hebu elezea

Hao Palestine wanaohamishwa hamishwa kama mifugo toka 1948 na Israel anaejitawala nani kachemka
Hamas kamatieni hapo hapo
Magaidi wenu waliotekwa mmewakomboa wangapi
 
Inaumiza sana aisee..kwa familia hii kitu ni ngumu kutoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ