kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Waisraeli sio magaidi??Ni vigumu sana kutenganisha Uislamu na Ugaidi, ni vigumu mno kupita kiasi.
Yaani nimesikitika sana, kwa vitu kama hivi hao mbwa wasakwe na wachakazwe mpaka waishe, unaona kabisa huyu sio muisrael na hajui hata lugha yao ila ndio kwanza unampiga risasiHabari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia
View attachment 2845298
Allah huyo Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Ewe Allah wanusuru ndugu zetu Waislam walioko Palestine. Ameen.
🙏 🙏Ipo in English Mkuu
View attachment 2845455
Labda tuwe tumechoka na Maisha. 80% ya Matajiri wa Marekani ni Waisraeli Kiasili na Kiburi kikubwa cha Mama yenu ni Fedha za Misaada kutoka Marekani sasa Tanzania itaanzia wapi Mkuu? Tutabaki / Itabaki tu Kubweka hovyo kama Mbwa Koko asiye na Madhara kwa Maadui na Wapita Njia.Aisee nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi nikweli hatuwezi kumuita balozi wa israeli na kumuhoji kuhusu vifo vya watanzania wenzetu mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina haki ya kuishi lakini lazima iwe palestina? Mbona walipewa uganda na Argentina wakakataa kwanini waende palestina?Kwa hiyo Israel haipaswi kuwepo duniani?
Maskini , aliwakosea nini hasa😪, inaumiza najuta kucheki hii videoonyo: video ina maudhui ya mauaji, angalia kwa tahadhari.
Lengo ni kuelimisha jamii kwamba ugaidi upo, Mtanzania mwenzetu hakuwa na silaha yoyote wala sidhani kama alikuwa anaelewa wanasema nini lakini wakamuua, wakaanza kumkanyaga tumbo na kumpiga risasi tisa.
View attachment 2845359
Hata habari hukufuatilia??? Kwani hujui tukio la Hamas kuvamia Israel na kuteka mateka Oktoba 7 ???Jama pana kitu lazima alikifanya akakamatwa ndio wakaamua kutoa hukumu hiyo,
Kwanini kwenye hiyo video yeye yuko peke yake eneo hilo,
Kwanini hao jamaa wote kila mmoja anataka kumua attack yeye?
Masheikh wako wanaokazwa hawa hapa, wanakusubiri ibadani na gauni lako mkamsujudie shetaniHivi lini unaenda kubatizwa? papa si karuhusu mashoga wabatizwe au basha wako hatati?
sakata wanataka kulizimia wapi?Video ni kuzima sakata hili la kuwaua wale mateka wao wa3
Basi kaka hajauliwa na hao ni waisraeli wamemuua si ndo unachotaka kusema ila kaa ukijua hao unao watetea mm na video zao kibao wanauana wao kwa wao kisa huyu mshia na huyu msunni hawa watu hiiiiJarida la THE TIMES OF ISRAEL liliandika hovi..
Joshua Mollel, 21, an agricultural intern from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and authorities said his body is being held hostage in Gaza.
Tusiwe mapunguani kujifanya tuna uchungu kumbe tunaingizwa chaka hii video imetoka leo karibia miezi 3 hiyo
Maiti ilikuwa Gaza?
Hapo alipopigwa risasi Joshua ni wapi?
Nani alikuwa anachukua hiyo video?
Hii video wangepost Hamas maswali yasingekuwa mengi lakini wamepost Israel wakati walituambia ameishakufa Gaza.
Ukitaka nenda kabisa kwenye mahandaki ukapigane na IDFSawa
Ila haiwi sababu yakutowaunga mkono hamas kuipigania haki yao yakimsingi
Wavaa magauni hawana akiliBi mkubwa wako mtamu wewe au unamuonea wivu? Itakuwa picha mbaya nikawatafuna wote
Fungua uzi wakeKwanini usianze kutuelezea kilichotokea 1948
Si makundi mnatengeneza wenyewe ili muuchafue uislamu??Kuna vitu vya kutetea lakini sio uislam kuna video za isis na boko haram na alqaida nikikutumia huwezi kulala usiku maana utakua unajiuliza hii dini baba yake na shetani ndo kaianzisha au huyo shetani hua anakuja kujifunza roho mbaya kwa wafasi wa Allah.Hivi mtu anakata kichwa cha mtu anakitundika juu ya chuma ama mti huku akisema allah akbar allah akba[emoji24][emoji24].Acha sasa hiyo wanawapanga watu wanawatandika risasi km wanapiga mti...hapana hawa watu hapan ni zaidi ya mashetani.
Kama unazo video zao mimi nifanyeje?Basi kaka hajauliwa na hao ni waisraeli wamemuua si ndo unachotaka kusema ila kaa ukijua hao unao watetea mm na video zao kibao wanauana wao kwa wao kisa huyu mshia na huyu msunni hawa watu hiiii
Unakosea mkuu aliyekufa ni mtanzania. Watanzania wana Haki ya kuhoji amekufa kufaje hasa ikizingatiwa serikali ya israeli imekua ikitoa taarifa tofauti juu ya watanzania wenzetu hawa baada ya tukio la tarehe 7 oktoba.Taifa lina mamb mengi ya msingi ya kufanya hatuwezi kukaa tuna ongea ongea kifo cha mtu mmoja, wakati watu wana kufa kila siku kwa uzembe ma hospitalini
Jitu jeusi linaloishi Kingungi linapojifanya lina undugu ma waarabu wasiolifahamu! Hiyo dini ni upumbavu mtupu. Kijarida cha Mudi alichoshushiwa na shetani kimeharibu bongo zenu.Ewe Allah wanusuru ndugu zetu Waislam walioko Palestine. Ameen.
Video ni kuzima sakata hili la kuwaua wale mateka wao wa3 ....Hili limewachafua sana mpaka wamekubali.
The first failed footage ni ile ya kulipua hospital walitoa footage wakidai ni mistake ya Hamas wakati wakirusha rocket ... Finally mabaki yalionyesha bomu limetoka USA na wao walitangaza kabla watashambulia ile tweet walifuta ila watu walikuwa nayo.
Je ni ipi dhamira yao kwa hiyo video ?
👉Dhamira yao ni kuleta kasumba ya ubaguzi wa rangi ambao lazima ilete taswira mbovu na kuwachafua HAMAS daima .
👇👇👇
View attachment 2845386