kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Waisraeli sio magaidi??Ni vigumu sana kutenganisha Uislamu na Ugaidi, ni vigumu mno kupita kiasi.
Kule Ukraine na Russia wale ni waislamu wanaouana??
South Afrika watanzania wanakufa kila siku , wale ni waislamu??
Mikoa ya kanda ya ziwa wanauana mara kwa mara , wale ni waislamu?
Ni chuki zako tu