Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Alikuwa mpumbavuNyerere alikuwa anawa favour wapalestina Vs waisraeli, nae alikuwa na msukumo wa kidini?
Mbona waziri alishatolea ufafanuzi au kwa vile s100 ni muislamu mwenzenu hata pumba pia mnandika?Unadha
Unadhani sirikali ya Tanzania inaendeshwa kijinga kwenye suala hili??
Lilishaongeleka sema jingneTaifa lina mamb mengi ya msingi ya kufanya hatuwezi kukaa tuna ongea ongea kifo cha mtu mmoja, wakati watu wana kufa kila siku kwa uzembe ma hospitalini
Kumbe kuiunga mkono HAMAS ndio kuwa na akili kama kijana?Shida ya Watanzania wengi haswa Vijana ni wajinga mno na ndio maana hawana uwezo wa kuhoji wala kujadili mambo ya misingi.
Video ipo wapi Hamasi anamuuwa, Israel hajauwa hata askari watano wa Hamasi yeye kisha vyekwa zaidi ya 7000 siri zitajulikana tu ndio sababu Netanyahu hataki kusimamisha vita na uwezo wa kuwashinda Hamasi hana, anaogopa kutupwa Jela 😄
Kwahiyo tufanyeje ? Tumia akiliMkuu huwezi kuishi kwenye dunia ya peke yako . Ndio maana leo Yemen anapozuia meli kupita red sea inaathiri dunia nzima hata ambao siyo waraabu wala waafrika. Tunachotakiwa kufanya kama binadamu ni kuhakikisha Haki na ubinadamu unazingatiwa bila kujali utaifa wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila umeona hiyo chupi yenye rangi ya jeshi????? Hivi ungekuwa wewe ndiyo Mosad ukutane na raia kavaa nguo
Hawa wote wameamua kwenda kuzimu then jehana...Yesu kristo ndio njia pekee ya uzima wa milele..Jesus Christ is the only way to heavenWaislam wapo bilioni 2 sasa hivi ni
Dini inayokuwa kwa kasi mtapata ugonjwa wa moyo bure.
Duh hii dini hapana kabisa. Huu ni unyama unyama na ni zao la shetani
Wewe sheria za kimataifa umeziona baharini tu huko Gaza huoni zikivunjika?Hao mgambo na serikali ya Yemen hawana ubavu wa kuzuia meli, ugaidi wao utakomeshwa ndani ya muda mfupi.
Sheria za bahari za kimataifa zinaifanya Yemen na wahuni mambo wa Houthi kujiweka ktk nafasi ya kupata vipigo toka mataifa yenye uwezo wa kuhakikisha sheria za bahari kimataifa zinaheshimiwa.
Muda siyo mfupi US, Denmark n.k vikosi vyao vya majini vitaanza kuwashughulikia kama HAMAS inavyopigwa muda huu.
Tufts University
https://sites.tufts.edu › chapter-six
Chapter 6: Maritime Security, Convention on the Law of the Sea
Maritime security supports an international order that is maintained through rule of law, and relies upon clear regulation of, and adherence to, the
View: https://m.youtube.com/watch?v=mALhZGbopR8
Wazayuni wanapoka maeneo nyie mnalia mnafanya vita wajukuu wa mudi akili zenu ni kuendea chooni na kubong'oka msikitini jinga kabisa weweAcha mihemko mkuu. Vita ya kupigania uhuru wa palestina ilianza mwaka 1948 baada ya kuundwa kwa taifa Fake la Israeli na haijawahi kusimama . Tarehe 7 October ni mwendelezo tuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni punguani pole sanaalla ni shetani
Kama hutaki kuuwawa jisalimishe (silimu). Simple tu.Huyo Allah wenu ni MPUMBAVU Sana.
Yani kuua mtu sio uovu?
Qmmmk huyo Allah natamani nimzabe makofi.
Takataka. Dini imekupofushaTumieni akli kidogo, mliambiwa kashikwa na Hamas, sasa leo vipi tena?
Pole sana yahudi mweusi wa kiboshoMungu Ibariki ISRAEL iipoteze HAMAS katika uso wa dunia
Acha ushabiki na madini yenu Hayo ya Watu weupe.. Huyo huoni Kuwa Ni MTU mweusi akinyanyaswa.. Ndio Maana Warabu waliwatawalaHiyo inaonesha wazi inayopigwa risasi maiti.
Mazayuni wamelikoroga wakaona bora watengeneze sinema kutafuta support.
Kwanini zaidi ya miezi miwili haijatoka itoke leo?
Hiyo staged kabisa.
Sidanganyiki kijinga.