uko sahihi kabisa.... Pale Israeli na Palestina ni kama NO GO ZONE tu, kifupi lolote linaweza kutokea upande wowote na lazima utegemee vitu kama vile.

wanasema wamakonde "charity begin at home"
 
Hiyo ishu ya part..Israel ndo waliwauwa hao watu kwa chopa siyo Hamas wala Wapalestina waliowauwa..na Israel walikiri baada ya video za tukio kuvuja..coz wapalestina hawana chopa sasa hii chopa inauofanya air raid ni ya nani ...ndo wakakiri hapo..otherwise zigo walishatwishwa palestina.
 
Lugha yeyote anaweza jifunza
 
Kupigwa bomu kwa AZROY NGWANDA nani aliywajibishwa? Au kupaza sauti au hadi nao tungeona video zao
Eti Azoru alipigwa bomb? Wapi? Huyu tunajua alipotezwa na utawala wa mabavu wa CCM, lakini hakupigwa bomu
 
Wejamaa hujielewi, hojazako ni za kipumbavu sana.

Hakuna mtu anaeumizwa alafu watu wakakaa kimya.
Hao wote ulio wataja watu wanapazasauti zao humu kila wakati na sio haotu wapo wengitu wengi tu walioumizwa na watu wanawalilia.

Niujinga kufikiri sehemu hisiazako zilipo basi na kilamtu anahisi sawasawa na wewe.
Ndio maana utaona mahali flani kunamsiba watu wanalia na wengine wanakula bata.
Maisha yapo hivyo.
Ukitaka kilamtu alie na wewe, acheke na wewe then utakuwa kichaa.




Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Atafanya hekima yao kuwa upumbavu

Mnaondelea kubishaa mnasikitisha
 
Google picha za ALPHONCE MAWAZO aliyouwawa kwenye nchi yake au yeye hakuwa mtoto wa mtu?

Your level of stupid is very good and surprising

Tunalala kitanda kimoja mpaka ukadirie uchungu wangu katika matukio?

This is a young boy in a foreign country, killed by terrorists, hata mwili wake haujulikani ulipo, wa Mawazo tulikuwa nao, na aliuwawa kwa ujinga na mihemko ya police.

This is a pre meditated murder, planned and well executed, Dogo kauwawa eti, in a foreign land, surrounded by terrorists, very bad experience, his last few seconds were the hardest.
 
Si mlisema kashikwa mateka?

Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.

Hollywood hiyo.
Hivi we mwanamke una akili timamu kweli? Mapemzi yako na dini yako ndio yanakufanya unakua mtumwa wa kifikra namna hii? Acheni kutetea ugaidi mavi nyie mnakera sana. Hebu rudini kwenye sense zenu muanze kufikiri kama binadamu mmekua wanyama sana😡😡
 
Shingo haipiti kichwa
 
Si mlisema kashikwa mateka?

Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.

Hollywood hiyo.
Hapa ndipo naposema niko sahihi kuwaita nyie Waislamu kuwa n wapumbavu na wanafiki, kwahy unaamini Wayahudi ndio wamemuua lkn Hutaki kuamini Waarabu ndio wamemuua.?
 
Wewe jamaa umekosa ubinadamu sababu siasa zimekuingia sana akilini.
Hujaona kelele zilizopigwa humu mitandaoni na baadhi ya magazeti na majukwaa ya mikutano mbalimbali juu ya vifo vya ulio wataja?
Sasa kwanini unataka tusilaani na kifo Cha huyu dogo Joshua?
 
Wewe hakuna Hamas wala Muislam hapo, ni staged kabisa.

Uongo mtupu huo.
Wewe ni poyoyo na punguani wa mwisho na uzao wako sijui unafaidika nini na uwepo wako. Lwa akili hizi unamfumdisha nini mjukuu wako wewe?

Mkizeeka ndio mnakua majinga kiasi hiki kweli? Shenzi kabisa
 
Lakini tukumbuke kwamba kosa Huwa haliuwawi kwa kosa...
 
Hana akili, ana halalisha ujinga kuelezea point muhimu. Point anayo ila amehalalisha point yake kwa kuongea pumba.
 
Swali la msingi. Kwanini Hamas wamuue mtz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…