kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Inawezekana kweli uislam ni dini ya shetani, unaskia hapo wanasema takbir allah akbar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahitaji maelezo kuhusu huu utata wa kifo hiki kutoka kwa balozi wa Israel hapa Tanzania.Joshua Mollel, 21, an agricultural intern from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and authorities said his body is being held hostage in Gaza.
Fellow Tanzanian Clemence Mtenga, who was originally thought to be held hostage following the October 7 attack, was declared dead on November 18, and his body was sent back to Tanzania for buria
Aulizwe kwasababu wamemuua baada ya kumhoji na kujua kua sio raia wa Israel na bado wakamuua nadhani ubaguzi wa rangi pia unahusika hapa mbona wale Wathailand hawakuwaua?Aondoke zake,kua na ubalozi wa Palestina hapa nchini ni LAANA
Na kuongoza ibada naweza siyo!? Usijitie upofu we mvaa gauni. Hao ni maimaam, wanaongoza ibada.Hizo kanzu si hata wewe shoga unaweza ukavaa ukamwambia basha wako akupige picha😂
Vita imeanza tareha ngapi na leo tarehe ngapi??Nasikitika sana naungana na wazazi wa Joshua Mollel kuhusiana na kifo cha mtanzania mwenzetu..
Yapo maswali na sintofahamu nyingi na utata kuhusiana na taarifa za kifo cha Joshua ambapo si vibaya sisi kama watanzania tukahoji ingawa marehemu hatorudi lakini tusiwe ni kizazi cha kupokea tu bila kuhoji tutakuwa wajinga. Yapo mambo mawili ambayo yanahitaji ufafanuzi hapa.
Mosi huyu mtanzania mwenzetu tulipata taarifa kuwa amechukuliwa mateka na Hamas huko Gaza lakini leo tumeoneshwa hapa kuwa aliuwawa na Hamas nadhani tarehe 7.10.2923 ndani ya mipaka ya israeli.
Pili kama aliuwawa tangu tarehe 7.10.2023 kwanini serikali ya Israeli haikutoa taarifa ya kuuwawa kwake hadi leo walipotuletea hii clip?
Mwisho kabisa hii clip imekuja baada ya balozi wa palestina hapa nchini kuhojiwa na kituo cha radio cha clouds FM je kuna nini nyuma ya pazia? Naomba tujadili bila jazba wa mihemko.
Natoa Pole za dhati sana kwa familia ya Joshua Miller na watanzania wote kwa pamoja kwa kumpoteza Mtanzania mwenzetu.
Mpumbavu wewe, huwezi fananisha damu ya mweusi mwenzetu na hao mashetani wa kiarabu na kizungu.Pamoja na kwamba Vijana Wetu wamekuwa ni wahanga wa mzozo wa Palestine na Israel ila inatuma ujumbe maumivu yaliyopo hapo Kwa Wapalestina.
Maumivu yaliyotupata Watanzania Kwa Vijana Wetu Kuuwawa ndio hayo hayo yanawakuta Wapalestina Kwa kuuwawa na kuporwa Ardhi Yao na Wayahudi.
Ndio maumivu hayo hayo yanawakuta raia wasio na hatia Kwa kuuwawa na Kukaliwa na Waasi wanaofadhiliwa na Rwanda huko DRC.
My Take
Tusimame na watu wote wanaoonewa,maana madhara yake ni mtambuka.Mifano mibaya Iko Russia,Israel,Rwanda nk.
R.I.P Vijana Wetu
Uliwahi kusikia taarifa zao hawa vijana kutoka kwa Hamas au Palestine authority zaidi ya kutoka serikali ya israeli?Yaan wauwe Palestine afu umuhoji israel
Haya ndio maswali wote tunayojiuliza na taarifa ya serikali ya israeli kumuhusi Joshua ilisemaje?Vita imeanza tareha ngapi na leo tarehe ngapi??
Picha nani kaisanbaza?
Ila hii sio dini aiseeHizo kanzu si hata wewe shoga unaweza ukavaa ukamwambia basha wako akupige picha😂
Kwa hiyo ulitaka ashinde shambani muda wote pasipo kuenjoy leisure kidogo wakati wa weekend?Waulize hilo swali eti halafu ni Oktoba 7 ambapo vita imepamba moto ,hata ukisema alikuwa israel mashambani jiulize hao Hamas wana ubavu wa kuwafuata israel kweny ardhi yao🤣🤣.
Allah Akbar ya sauti ya chini huku umeshika tasbihi na unyenyekevu hiyo hutumiwa kwenye ibada lakini ukisikia ALLAH AKBAR! hiyo ya sauti ya juu ni Battle cry hutumika zaidi kwenye mapigano na mauwaji na ugaidi.wanasema takbir allah akbar
Hapa ndipo upumbavu wenu nyie Waislamu mnapoonyesha upumbavu wenu, kwahy kama kauawa bc kauawa na Wayahudi ila Hutaki kuamini kuwa Hamas wanaweza ndio waliomuuaAcheni kuleta chuki na watu wanaopigania haki zao. Hizi picha au video zinatengenezwa kutumia AI packages na vikosi maalum vya kizayuni vya propaganda.
Kama huyu jamaa kauwawa basi kauwawa na wayahudi sababu kuna ushahidi hiyo siku aliotekwa ndege za wayahudi zilishambulia kwa pupa na kuuwa raia wengi wao. Au inawezekana ameuwawa kwa mabomu yaluokua yanamwagika gaza usiku na mchana.
Pole kwa wafia lakini hii ni vita na wapalestina wengi wanekufa.
Mapambano yanaebdelea mpaka mzayuni akipate cha mbwa koko.
Aluta continua.
Sina rangi mkuu. Iam standing for humanity.Umeongea point sana ila mwisho umekuja kuharibu hapa na kuonyesha rangi yako.
Japo una point.
Lakini hata Nelson Mandela aliitwa gaidi tukumbuke hilo .Ugaidi hauna visingizio vyovyote. Tusishabikie hata kidogo. Tusihalalishe ugaidi kwa kisingizio chochote