Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Kama mnakumbuka kundi la askari wa kiarabu waliotekwa wakipigana upande wa idd amini palikuwepo idadi kubwa tu ya wapalestina. Manaake walikua wanaua wanajeshi wetu wakimpigania idd amini. Na Jambo Hilo lilimshangaza mwalimu JK Nyerere aliunga kwa asilmia mia harakati za PLO.
Kuna msemo unasema kunguru hafugiki.
na paka wa porini ni wa porini tu, hafugiki
Uingereza marekani na nchi nyingi za ulaya ziliungana na makaburu kukandamiza haki na kuwaua weusi africa kusini na kuwaita wapigania uhuru kama mandela magaidi, sasahivi israel kaitambua western sahara kama part ya morocco huku sunia nzima ikipinga hilo, maslahi ya nchi na nchi ya kihistoria ya zamani yasikufanye leo uhalalishe uonevu mfano uingereza ilititawala na kutuua lakini huwezi kusema eti leo tuichukie uingereza
 
Y
Na sababu huenda Idd Amin alikuwa muislamu mwenzao, unajiuliza kwa nini Nyerere aliwaunga mkono watu kama hawa.
Yaani sisi huwa tunaunga mkono mtu kulingana na haki yake, ila hawa majini watu wao mradi mtu ni dini yao hawajali ana haki au hana! Ni wabaguzi sana sasa watanzanja wameuwawa kikatili bila kuhukumiwa wao wanaunga mkono.
 
Y

Yaani sisi huwa tunaunga mkono mtu kulingana na haki yake, ila hawa majini watu wao mradi mtu ni dini yao hawajali ana haki au hana! Ni wabaguzi sana sasa watanzanja wameuwawa kikatili bila kuhukumiwa wao wanaunga mkono.
Kuna huyo anayeitwa THE BIG SHOW yeye kisa mtanzania aliyeuawa kikatili si wa dini yake kashupaza shingo kuwatetea waja wa mtume.
 
Uingereza marekani na nchi nyingi za ulaya ziliungana na makaburu kukandamiza haki na kuwaua weusi africa kusini na kuwaita wapigania uhuru kama mandela magaidi, sasahivi israel kaitambua western sahara kama part ya morocco huku sunia nzima ikipinga hilo, maslahi ya nchi na nchi ya kihistoria ya zamani yasikufanye leo uhalalishe uonevu mfano uingereza ilititawala na kutuua lakini huwezi kusema eti leo tuichukie uingereza
Achana na hayo ya marekani , Rudi kwenye hoja yangu, kwanini palestina wapigane upande wa amini dhidi yetu ? Kisha miaka mingi baadaye wanamuua mtanzania mwenzetu pamoja na kujitetea kwamba ni mtanzania ?
 
Haya ndio maswali wote tunayojiuliza na taarifa ya serikali ya israeli kumuhusi Joshua ilisemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Israel au hamasi kila mtu atasema hakuna aliyehusika na mauwaji hayo... Clip hiyo inaonekana serikali ya Israel ndio huenda kaisambaza ku Brainwashed waTz wao hawakuusika ni hamasi, wakati hata hamas nao wanaweza rekodi movie kama hiyohiyo na wakasema kilekile atakachosema Israel
 
Kama mnakumbuka kundi la askari wa kiarabu waliotekwa wakipigana upande wa idd amini palikuwepo idadi kubwa tu ya wapalestina. Manaake walikua wanaua wanajeshi wetu wakimpigania idd amini. Na Jambo Hilo lilimshangaza mwalimu JK Nyerere aliunga kwa asilmia mia harakati za PLO.
Kuna msemo unasema kunguru hafugiki.
na paka wa porini ni wa porini tu, hafugiki
Mkuu hata sisi tuliua makundi makubwa ya Waarabu kwenye Mapinduzi ya Zanzibar tena wengi walikuwa ni raia tu.

Mwanadamu ni rahisi sana kurudi katika Unyama wa mwitu.
 
Achana na hayo ya marekani , Rudi kwenye hoja yangu, kwanini palestina wapigane upande wa amini dhidi yetu ? Kisha miaka mingi baadaye wanamuua mtanzania mwenzetu pamoja na kujitetea kwamba ni mtanzania ?
Nyerere wakati anawasupport aliyajua hayo yote ingawa nikurekebishe walikuwa walibya sio wapalestina na ukimchukia mpalestina kwa hilo la zamani wachukie na wazungu kwa kuwaia na kuwadhalilisha babu zako,
Swala la joshua bado huwezi kuwalaumu palestine hadi sasa hatujui ukweli, maana kama unawajua hamas utakubali kwamba wale siyo hamas bali waisrael
 
Issue sio video imetoka lini, issue ni wewe umeiona lini kwani una hakika hii video imetoka jana???

Huhitaji akili ya zaida kujua hawa ni watu gani, kuanzia muonekano mpaka lugha sema tu kama umeamua kukaza fuvu , kitu ambacho siwezi kuzuga kuwa hawa sijui wakina nani ilhali we fika unaona ni HAMAS

hawa mbwa wapigwe mpaka wachakae kudadeki zao
Kuna kitu Amazon (AWS) wanaitaa face recognition jaribu kuangalia utaweza pata moja na mbili katika kuongeza maarifa
 
NENDA KWA MWAMPOSA KAKANYAGE MAFUTA,MAMBO HAYA YAMEKUZIDI AKILI NA UPEO KAFIRI USIO NA AKILI.

CHOMBO GANI CREDIBLE KIMERIPOTI TAARIFA HIYO ZAIDI ZAIDI YA TAARIFA KUTOKA UBALOZI WA HILO TAIFA GAIDI MNALOLIITA NI TEULE LA MUNGU??
BIG SHOW katika upumbavu wako
FB_IMG_1700579192159.jpg
 
NA HILO TAIFA GAIDI LA MUNGU,WAKRISTO WENGI WAO WAKISHANGILIA...ILA WAKIULIWA WAISRAEL MNAKUJA KUSEMA HAMAS MAGAIDI

Wengine we can careless miarabu na miyahudi ikiuana wanaweza kumalizana wote wakitaka maana ndo njia waliyochagua ila wanapouwawa watu wetu ambao hawahusiki that's a different ball game.

Kuna ugumu kiasi gani wa Palestina kukanusha au kutoa mkono wa pole kama hawahusiki? Ukimya wao unaashiria nini? Hili nalo lipo nje ya uwezo wao hadi Israel iwape ruhusa?
 
Nyerere wakati anawasupport aliyajua hayo yote ingawa nikurekebishe walikuwa walibya sio wapalestina na ukimchukia mpalestina kwa hilo la zamani wachukie na wazungu kwa kuwaia na kuwadhalilisha babu zako,
Swala la joshua bado huwezi kuwalaumu palestine hadi sasa hatujui ukweli, maana kama unawajua hamas utakubali kwamba wale siyo hamas bali waisrael
Hata mimi kumbukumbu zangu zinaniambia walikuwa ni Walibya.
 
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
Ukumbuke Rais asiyetafuta Elimu ktk mambo mengi huwa ni Rais mvivu asiyefaa na huwa anaunga mkono mambo mengi bila ufaham wowote ndiye Rais tulienae.Ila wajinga wanamsifu tu kila uchao,wanamdanganya ila hajui.
 
Kama mnakumbuka kundi la askari wa kiarabu waliotekwa wakipigana upande wa idd amini palikuwepo idadi kubwa tu ya wapalestina. Manaake walikua wanaua wanajeshi wetu wakimpigania idd amini. Na Jambo Hilo lilimshangaza mwalimu JK Nyerere aliunga kwa asilmia mia harakati za PLO.
Kuna msemo unasema kunguru hafugiki.
na paka wa porini ni wa porini tu, hafugiki
Hivi unafikiri wafuasi wa mtume mudi wanakubali ukweli huu! tena alikuwepo gadafi akimsaidia iddi amini na ilikuwepo na urusi pia ikiwa upande wa iddi amin. na ukumbuke Idd amini alikuwa mfuasi wa dini ya mudi na alifanya mauaji ya kutisha na baadae akaenda ishi aaudi arabia!. Itoshe kusema hii imani ya mudi ni ya shetani.
 
Back
Top Bottom