Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Ngumu saana ila kaza.. mi nilianza nikakaa siku tatu tu.... Kuna demu nilikuwa namtamani kisee., Akanichek nimtoe ... Balaa likaanzia hapo nimkazie au vip.

Na hadi that time alikuwa ashakula 45elf yangu na nimewinda miezi 6.

Nkavunja.
Hapo cha kufanya mzee baba install app ya iron will uanze kuhesabu siku kwa ustadi na hamasa ya hali ya juu...... huyo ukimla utatamani umle tena na tena unajua shetani nae mjanja sana..... Akigundua tu kuna memba ameanza kuwapoteza anataka awarudishe kwa kasi ya ajabu kama hapo atakuletea mademu wote wakali ambao kwa mtazamo wako uliona hawa huwezi kuwatongoza kwanza ni levo za juu sana kuliko wewe....... Cha pili lifestyle yao ni ya juu mno kufananisha na yako, kwa kifupi uliona kabisa huwawezi.

Lakini sasa hivi shetani kwa kuona memba wake wanazidi kupungua leo atawatuma hao hao mademu uliowaona ni wa levo za juu huwawezi waje wakutongoze wewe na lazima utakubali.

Ndugu kataaa hiyoooooo.

Install Iron Will app.

And then...........#NoFap
 
Kiukweli kama hujaoa au kuolewa, kujizuia na zinaa ni jambo la dharura mno.

Sisi tulio oa tunawaunga mkono, kisha mkimaliza hayo mazoezi kama ni binti uolewe na kama ni wa kiume uoe.

Shukrani.
 
iko hivi, kwa siku za karibuni utateseka sana lakini ikipita miezi kama mi 3 hivi mwili unazoea.
Huna unachojua wewe; ni hivi kama unakula vizuri lazima zitoke wakati wa usiku au hata wakati wa haja ndogo. Tofauti na hapo utakuwa na matatizo kiafya
 
Kila kitu kinawezekana sahivi nshakuwa scout
Screenshot_20220525-192227.jpg
 
Kiukweli kama hujaoa au kuolewa, kujizuia na zinaa ni jambo la dharura mno.

Sisi tulio oa tunawaunga mkono, kisha mkimaliza hayo mazoezi kama ni binti uolewe na kama ni wa kiume uoe.

Shukrani.
Kweli kabisa ushauri wa maana sana huu mdau
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241

Wee endelea tu na challenge, mimi kwa kweli kati yangu na mbususu hakuna wakuingilia.

Yaani nisiwaguse wake zangu kwa sababu za kijinga namna hii. Alafu nikifa minjemba ndo itasimamia ukucha?

Mimi mbususu napiga!
 
Huna unachojua wewe; ni hivi kama unakula vizuri lazima zitoke wakati wa usiku au hata wakati wa haja ndogo. Tofauti na hapo utakuwa na matatizo kiafya
Yani umeshavimbiwa maharage huko unakuja kujamba huku tena jamaa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ukiwa sxhoga halafu huchakati mademu...baada ya miezi kadhaa siunaanza kuota ndoto Za kufanya mapenzi Na kupiga Bao kitandani?
Au miili Yenu haipati hiyo tabu?
 
Back
Top Bottom