Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Sasa asinit...mbe tunakuwa tunafanya nn yani?
Waimba kwaya?
mxxxxie.
Hiyo miezi 6 sijui mwaka kabla hujaanza kuhesabu unipe talaka tu yaishe mana utakuwa tu unanitafutia kesi.
HUUMWI, ila umeamua tu sijui challenge sijui nn?
We unataka ufe ukiwa na maini sijui figo nzima ili ukazitumie wapi?
Hebu wat..mbeni wake zenu bana.
Challenge kafanyeni za kukimbiza magari huko mrudi nyumbani na makovu makovu mpakwe Iodine yaishe.
Challenge mnafanya me na ke kwa wakati mmoja ili kuepusha tafrani.
Tena mnavyojinasibu kuwa nyie mnaweza kukaa hadi mwaka hamjatomb.. ndio tuwaone ushahidi kabisa.
 
Challenge accepted
Ni mwendo wa mazoezi nikiwahi kurud sa2 ndan
Unachuja mpaka unakua mwepesi kama unyoya sio issue
 
Mimi kitu ambacho nilijisemea siwezi kuacha ni porno nilikuwa general wa hayo mambo mpk majina ya wakali wangu walikuwa kichwani lkn sasa ni sasa karibia mwaka wa nne sijaingia site wala kuwatch na connection zote zilizo vuma nilipuuza.

Hii kitu kina faida kubwa na inaongeza kujiamini , concentration nk kea kiwango kikubwa . Njia muhimu nilizotumia

1.Kumshikisha Mungu
2.Mazoezi
3.Usomaji wa Vitabu
4.Kujiepusha na vishawishi/Mazingira hatarishi
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Mkuu nimefanga research mimi mwenyewe zaidi ya miaka 10, nisipo fanya sex mara kwa mara zaidi ya wiki tu hamu ya sex inapungua sana na parfomance inashuka sana.
 
Challenge mnafanya me na ke kwa wakati mmoja ili kuepusha tafrani.
Tena mnavyojinasibu kuwa nyie mnaweza kukaa hadi mwaka hamjatomb.. ndio tuwaone ushahidi kabisa.
Mi labda niwe naumwa.
Mwaka bila mb.. jamani!
Kwanza sijawahi, toka siku nimeanza hii burudani mi sijawahi kukaa mfululizo miezi 6 eti sijafanya.
Wengine sisi hatujawahi kuwa single.
Namaliza kujifungua siku 40 haziishi tunaendelea na kujenga nchi.
Yani sasa ndo nijikute tu naanz tu sa hizi kukaa miezi yote hiyo bila bila?
Nataka kugundua nn?

Mi mtu asiniletee challenge kwenye starehe yangu pendwa, kuna namna tutakuwa tunatafutana la rohoni.
 
Mi labda niwe naumwa.
Mwaka bila mb.. jamani!
Kwanza sijawahi, toka siku nimeanza hii burudani mi sijawahi kukaa mfululizo miezi 6 eti sijafanya.
Wengine sisi hatujawahi kuwa single.
Namaliza kujifungua siku 40 haziishi tunaendelea na kujenga nchi.
Yani sasa ndo nijikute tu naanz tu sa hizi kukaa miezi yote hiyo bila bila?
Nataka kugundua nn?

Mi mtu asiniletee challenge kwenye starehe yangu pendwa, kuna namna tutakuwa tunatafutana la rohoni.
Shem atakuwa yupo fit kinoma
 
ehehehheeh yani nawaza eti mama Kayayiiii, nipo kwneye NO FAP challenge.
Hakyamama naweza mng'ata mtu.
Aisome aiache huku huku JF.
Msizungumze masikhara kwenye mambo ya msingi.
Yani bei ya petroli ipande na yeye aseme oh sijui nataka sijui kuwa na afya sijui nimeacha nini.
Hakyanani mjiandae kusoma uzi wenye title "MKE WANGU KANING'ATA CHANZO NI #nofap''
 
Shem atakuwa yupo fit kinoma
He is mashallah!
Not kwamba tunafanya kila siku but me the whole idea mimi nishindwe kujisevia vitu zangu
Sometimes, hata nikiwa katikati ya usiku oh wife nimekuta jf kuna challenge nimejiunga.
Hakiiii ataenda alale ofisi za Jamii Forum
 
He is mashallah!
Not kwamba tunafanya kila siku but me the whole idea mimi nishindwe kujisevia vitu zangu
Sometimes, hata nikiwa katikati ya usiku oh wife nimekuta jf kuna challenge nimejiunga.
Hakiiii ataenda alale ofisi za Jamii Forum
🤣🤣🤣🤣🤣Una maneno weye.
So wee unataka any time unajisevia utamu wako...dah safi sana ukipatake sampuli hii huna shida ya kuchepuka
 
Iseee, wanawake kazi wanayo mwaka huu,
Huku inatoka orodha ya mapunga
Huku inatoka orodha ya waliojiunga Nofap

Kwa kweli kwenye hiyo noFap na mimi niandikeni.
Tuone sasa
 
🤣🤣🤣🤣🤣Una maneno weye.
So wee unataka any time unajisevia utamu wako...dah safi sana ukipatake sampuli hii huna shida ya kuchepuka
we duniani hakuna starehe kama kut...b.na.
Shida za ulimwegu zote hizi bado niongeze na shida ya kuzuia mwili kufanya kazi yake.
Yani watu wanajifanya kama wa wana akili kuliko Mungu.
Asingeweka basi hivi viungo ili huo mwili ujitegenezee hizo stamina sijui confidence.
Yani kila kitu has sababu ya kuwepo mwilini.
Tendo la ndoa ni for creation and recreation.
Sasa huo mwaka sijui wa kutafyta cheo cha 'IMMORTAL' hizi sehemu zinakuwa na kazi gani?
And come to think of it, hata the highest rank unapata cheo cha ''SIO KIUMBE''
Meaning huo mchakato sio wa kibinadamu, why shud we then engage kwenye vitu vivyo vya kibinadamu?
We mi nakwambia mtu atalala makao makuu ya Jamii Forum.
Haki vile.
 
Back
Top Bottom