Challenge mnafanya me na ke kwa wakati mmoja ili kuepusha tafrani.Sasa asinit...mbe tunakuwa tunafanya nn yani?
Waimba kwaya?
mxxxxie.
Hiyo miezi 6 sijui mwaka kabla hujaanza kuhesabu unipe talaka tu yaishe mana utakuwa tu unanitafutia kesi.
HUUMWI, ila umeamua tu sijui challenge sijui nn?
We unataka ufe ukiwa na maini sijui figo nzima ili ukazitumie wapi?
Hebu wat..mbeni wake zenu bana.
Challenge kafanyeni za kukimbiza magari huko mrudi nyumbani na makovu makovu mpakwe Iodine yaishe.
App inaitwaje bossKaribu sana mdau install na ile app kabisa
Mkuu nimefanga research mimi mwenyewe zaidi ya miaka 10, nisipo fanya sex mara kwa mara zaidi ya wiki tu hamu ya sex inapungua sana na parfomance inashuka sana.Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......
NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2234241
Mi labda niwe naumwa.Challenge mnafanya me na ke kwa wakati mmoja ili kuepusha tafrani.
Tena mnavyojinasibu kuwa nyie mnaweza kukaa hadi mwaka hamjatomb.. ndio tuwaone ushahidi kabisa.
Shem atakuwa yupo fit kinomaMi labda niwe naumwa.
Mwaka bila mb.. jamani!
Kwanza sijawahi, toka siku nimeanza hii burudani mi sijawahi kukaa mfululizo miezi 6 eti sijafanya.
Wengine sisi hatujawahi kuwa single.
Namaliza kujifungua siku 40 haziishi tunaendelea na kujenga nchi.
Yani sasa ndo nijikute tu naanz tu sa hizi kukaa miezi yote hiyo bila bila?
Nataka kugundua nn?
Mi mtu asiniletee challenge kwenye starehe yangu pendwa, kuna namna tutakuwa tunatafutana la rohoni.
He is mashallah!Shem atakuwa yupo fit kinoma
🤣🤣🤣🤣🤣Una maneno weye.He is mashallah!
Not kwamba tunafanya kila siku but me the whole idea mimi nishindwe kujisevia vitu zangu
Sometimes, hata nikiwa katikati ya usiku oh wife nimekuta jf kuna challenge nimejiunga.
Hakiiii ataenda alale ofisi za Jamii Forum
we duniani hakuna starehe kama kut...b.na.🤣🤣🤣🤣🤣Una maneno weye.
So wee unataka any time unajisevia utamu wako...dah safi sana ukipatake sampuli hii huna shida ya kuchepuka