Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Hii challenge nitafika malengo ila kwa msaada wako ujue, unaujua nimeamua japo hata mwezi nitoboe malengo ya mwezi, basii ili niwe commando, we njoo unipe moyo basi
Nisubiri dk chache. Alafu hii kitu nilijua ni kwa walio single tu mtu kama una mke inakuaje sasa mke naye anakua likizo au??
 
Nisubiri dk chache. Alafu hii kitu nilijua ni kwa walio single tu mtu kama una mke inakuaje sasa mke naye anakua likizo au??
Wanandoa wengi hawanyundani sana kama tunavyofikiri, ndiyo maana unakuta wana michepuko sana,, wanandoa wanapeana wakiwa tu na furaha, ila shetani akiwapitia wanaweza kushinda hata mwezi wasinyundane,
 
Wanandoa wengi hawanyundani sana kama tunavyofikiri, ndiyo maana unakuta wana michepuko sana,, wanandoa wanapeana wakiwa tu na furaha, ila shetani akiwapitia wanaweza kushinda hata mwezi wasinyundane,
Duh! Mwezi bila bila aisee labda nikifika huko ndio nitaelewa ila siez muangalia tu jamaa week nzima ndio ikawe mwezi [emoji2][emoji2]
 
Duh! Mwezi bila bila aisee labda nikifika huko ndio nitaelewa ila siez muangalia tu jamaa week nzima ndio ikawe mwezi [emoji2][emoji2]
Ukiingia kwenye ndoa uje upitie hiyo comment hapo hata ikiwa miaka 10, utaelewa tu[emoji23][emoji23]
 
Ukiingia kwenye ndoa uje upitie hiyo comment hapo hata ikiwa miaka 10, utaelewa tu[emoji23][emoji23]
Ila ulichosema nakielewa, kuna kuzoeana pia plus majukumu inafika muda hata hamu inakata. Nakuelewa ila tu sija'experience hiyo kitu.
 
Ila ulichosema nakielewa, kuna kuzoeana pia plus majukumu inafika muda hata hamu inakata. Nakuelewa ila tu sija'experience hiyo kitu.
Sawa sawa upo vizuri, inaonyesha una vitu vingi vya kushare ngoja nisubiri
 
Hii NoFap challenge ni kwa ajili ya wenye uhakika Milo mitatu kwa siku, ukiwa huna uhakika wa Milo mitatu hata mbususu yenyew huwezi ipata frequently
 
Hiyo ndio dawa yao kenge hao
 
Kuna kipindi nilikuwa nakaha miez sita bila kuchakata papuchi ila sas HV nikivuka mwez tu au wik tatu bas nafurahi balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…