Nisubiri dk chache. Alafu hii kitu nilijua ni kwa walio single tu mtu kama una mke inakuaje sasa mke naye anakua likizo au??Hii challenge nitafika malengo ila kwa msaada wako ujue, unaujua nimeamua japo hata mwezi nitoboe malengo ya mwezi, basii ili niwe commando, we njoo unipe moyo basi
Wanandoa wengi hawanyundani sana kama tunavyofikiri, ndiyo maana unakuta wana michepuko sana,, wanandoa wanapeana wakiwa tu na furaha, ila shetani akiwapitia wanaweza kushinda hata mwezi wasinyundane,Nisubiri dk chache. Alafu hii kitu nilijua ni kwa walio single tu mtu kama una mke inakuaje sasa mke naye anakua likizo au??
Duh! Mwezi bila bila aisee labda nikifika huko ndio nitaelewa ila siez muangalia tu jamaa week nzima ndio ikawe mwezi [emoji2][emoji2]Wanandoa wengi hawanyundani sana kama tunavyofikiri, ndiyo maana unakuta wana michepuko sana,, wanandoa wanapeana wakiwa tu na furaha, ila shetani akiwapitia wanaweza kushinda hata mwezi wasinyundane,
Ukiingia kwenye ndoa uje upitie hiyo comment hapo hata ikiwa miaka 10, utaelewa tu[emoji23][emoji23]Duh! Mwezi bila bila aisee labda nikifika huko ndio nitaelewa ila siez muangalia tu jamaa week nzima ndio ikawe mwezi [emoji2][emoji2]
Ila ulichosema nakielewa, kuna kuzoeana pia plus majukumu inafika muda hata hamu inakata. Nakuelewa ila tu sija'experience hiyo kitu.Ukiingia kwenye ndoa uje upitie hiyo comment hapo hata ikiwa miaka 10, utaelewa tu[emoji23][emoji23]
Sawa sawa upo vizuri, inaonyesha una vitu vingi vya kushare ngoja nisubiriIla ulichosema nakielewa, kuna kuzoeana pia plus majukumu inafika muda hata hamu inakata. Nakuelewa ila tu sija'experience hiyo kitu.
Safi, endelea kukaza.Nipo mkoa wa baridi lkini nimepiga siku 14 japo imejitqhidi. Ngoja nikaze
Inaonyesha maeneo yenye baridi nyege hazipandi sana yani sio sana kuziamsha, mpaka pale mnapoitafuta joto je ni kweli?Nipo mkoa wa baridi lkini nimepiga siku 14 japo imejitqhidi. Ngoja nikaze
Wewe ndiyo hutaki kunisaidie una ushawishi unaona, ngoja nisubiriSafi, endelea kukaza.
Hiyo ndio dawa yao kenge haoHatari sana man, yani ukiamua kubadili maisha yako unakuwa mtu mwingine kabisa mfano mimi zile shobo nilizokuwanazo kila nikimuona demu anaevutia sahizi sina kabisa, yani hata manzi awe mkali kiasi gani mimi namuona kama nyani tu yuko juu ya mti.
Juzi nimeingia mgahawa flani wa mshkaji wangu uko jirani na chuo flani hivi hapa town nikaagiza msosi mara wakaja madem flani wa mjini wale wanaojionaga top in town.
Walivyoingia hawakusalimia mtu hata mmoja ila wadau mule ndani wakaanza kuwashobokea kwa salamu kibao mixa kuwachekea chekea mimi nimecool tu sina habari na mtu tena mmoja akaja kukaa karibu yangu bila kusalimia namimi sikumsemesha mpaka naondoka pale nikamuaga mchizi kisha mimi yuleeee nikapotea.
Naona kitendo nilichofanya yule demu hakuamini alijiona yeye ni mzuri na wakushobokewa na kila mwanaume.
Sasa jana yule mshkaji wangu akanipigia anasema nilivyoondoka pale wale madem wakaanza kunisema eti huyu kaka alietoka anaonekana anadharau hata sijui anaringia nini.
Mimi nikacheka saaana hahahahah.
[emoji23][emoji23] jamani usiseme hivyoWewe ndiyo hutaki kunisaidie una ushawishi unaona, ngoja nisubiri
Weeee kwnye baridi sio pouwa maana ukishapata kiujoto kidogo tu lazima isimameInaonyesha maeneo yenye baridi nyege hazipandi sana yani sio sana kuziamsha, mpaka pale mnapoitafuta joto je ni kweli?
Maisha [emoji2] haya kila la kheri.Kwa hasira nilizo nazo, hii nofap niliyoianza jana naenda miezi 6, then naunga miezi 12 then maishaa
Muda huo umeolewa au upo single?Hii challenge nzuri Sana. Jitahidi Kwa kweli ili tupate matokeo mazuri.