Mshua alikuwa sahihi ndio maana viongozi wa baadhi ya dini hawana hayo mambo,waze wetu Kwa uwongo wapo vizur
UmejuajeMshua alikuwa sahihi ndio maana viongozi wa baadhi ya dini hawana hayo mambo
Ukiwa mzinifu sana spiritually unakuwa weak kama unaamin kwenye dini utanielewaUmejuaje
Jaribu kupunguza anza mara chache kwa week then mara chache kwa mwez mpaka uache completely...download app hiyo ili uwe una track progressDaah hongereni mnaoiweza "Nofap" mm kila siku lazima nipige Masterbation aise, nikijaribu siku ipite bila kupiga nakosa Usingizi kabisa, kwahiyo ni lazima nipige Puli moja ya uhakika sana, then ndo napata Usingizi
Yani mkuu hapo ndipo tunapo feli watu wengi hapo ni sawa sawa akili,mwili,hisia unashindana navyo hapo ndipo unapojipima unaweza kujicontroll ama vipi usikubali hisia,mwili,akili vikuendeshe maana wewe kama wewe ni hiyo roho yako ukitoa akili,mwili wakoDaah hongereni mnaoiweza "Nofap" mm kila siku lazima nipige Masterbation aise, nikijaribu siku ipite bila kupiga nakosa Usingizi kabisa, kwahiyo ni lazima nipige Puli moja ya uhakika sana, then ndo napata Usingizi
Nikiamua jambo halafu nikashindwa njian huwa nakwazika sana maana naona nna sheer will ndogo wakat najionaga ni strong & smart person there isYani mkuu hapo ndipo tunapo feli watu wengi hapo ni sawa sawa akili,mwili,hisia unashindana navyo hapo ndipo unapojipima unaweza kujicontroll ama vipi usikubali hisia,mwili,akili vikuendeshe maana wewe kama wewe ni hiyo roho yako ukitoa akili,mwili wako
Watu wengi tunaendeshwa na akili,mwili ndio maana kuna baadh ya vitu tunafeli na uoga,hofu pia vinatufelisha mkuu laiti kama tukiweza kukontroll vitu hivi naamini binadamu wengi tungekuwa mbali sanaNikiamua jambo halafu nikashindwa njian huwa nakwazika sana maana naona nna sheer will ndogo wakat najionaga ni strong & smart person there is
Labda ni tatizo au nn ila nachukia kufeli aisee
30 days.
Watu wengi tunaendeshwa na akili,mwili ndio maana kuna baadh ya vitu tunafeli na uoga,hofu pia vinatufelisha mkuu laiti kama tukiweza kukontroll vitu hivi naamini binadamu wengi tungekuwa mbali sana
Jana mkuu nusu niharibu hii challenge katika kupita pita humu jukwaaani nikapitia ile nyuzi ya warembo wakali na picha zao aiseee kutazama...Ku control uoga huwa natumia mbinu moja inaitwa
Five second rule
Imensaidia kwa kiasi chake
Jana mkuu nusu niharibu hii challenge katika kupita pita humu jukwaaani nikapitia ile nyuzi ya warembo wakali na picha zao aiseee kutazama...
Picha kadhaa za warembo nikaona hali inachange nikajikaza kama dakika 10 nikazima simu na kumbonji ingekuwa mwingine angeshachukua sheria mkononi[emoji16]
Mabadiliko gani umeyaona mpaka saizi32 days,
Mungu ni mwema nyakati zote.
Shukrani mkuu [emoji16][emoji28] Hongera Mkuu