favourismyname
JF-Expert Member
- Jul 17, 2022
- 403
- 361
DuhUsijitese mzee baba jipe raha.... ila hizi raha sio nzuri maana wanabaki wao tena kwa muda mrefu tu ila sisi ndiyo tunakwenda chini ya udongo mapema. Babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii na ameshasahau kama aliwahi kuwa na mume na hiyo ni upande wa baba tu, kwa upande wa mama babu alikufa mwaka 1988 ila bibi yupo mpaka leo hii.
TrueHi nzuri ina faida zifuatazo.
-inakuepusha na magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya ngono.
-inakuepusha na nuksi.
-inakuepusha na majanga mbali mbali mfano,mimba zisizo tarajiwa,kufumaniw nk.
-inakuepusha na vizinga mwambatano.
-unapata utulivu wa nafsi.
-akili inajikita kwenye ukuaji wa uchumi wako.
-Unarejesha nguvu upya za sexx
KudosMabadiliko ni makubwa Sana.
Mwanzo week za Kwanza wa weza pata izo ndoto nyevu Mara 1,2 ila baada ya hapo haitokei tena.
Faida nilizo ona Hadi sasa.
-kwanza Unajiamini,Mwili una kuwa na nguvu,na afya tele.
-Akili inakuwa faster,tulivu na pia yenye mawazo chanya juu ya mstakabali wa maisha.
-Abdala kichwa wazi yupo strong,vibaya mno,anasimama imara Kama mnara,hii kwang ni zaidi ya mwanzo.
-Uchumi umekua maana nimejitenga mbali na hawa ndug zetu upande wa pili,nimejua kuji control kiasi kwamba ke Yani sumbui au kuniendesha kisa k,maana naweza survive without it.
-Imeniondolea ulimbukeni juu ya wanawake for 95% hivyo nakuwa na nafasi kubwa ya kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maisha yangu ya kesho,nime save San Mkwanj wangu
✓bado naendelea ntazidi kuleta maendeleo yangu juu ya operation hi.
Wengi tuWapoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo huku tarime, aisee kuna pisi mbovu sijawahi kuona dunia nzima.. Nimeona nijiunge tu na hii challenge na nina wiki sasa, nataka nikomae mwaka mzima mpaka ntakaporudi katika mji niliouzoea.
Daa, mwanangu ww kama mm....nilijitunza muda mrefu...ila siku moja paaa...nikaanguka...nikajichua...daah,,roho iliniumaaa kinyaaama...ila nimeanza tena upyaa...naamini this time sitoangukaBaada ya takribani siku 35 Nimepata relapse moja Kali Sana nikajichukulia Sheria mkononi,
Mwanzo niliamua kuacha porn na puli kwanza Ila sex niendelee na nakumbuka nilisex Kama Mara sita au Saba hivi Basi, baadae nikahamasika nayo niiache, nikaazimia kufanya sperm retention Kabisa na nikaacha rasmi vyote porn, puli na sex.
[emoji23][emoji23] daah wacha tuwale tu man washkaji zao c wapo kwenye challengeNyie mlioko kwenye Challenge tunawala sana Mademu wenu
Nipe link asee niende hukoPia kuna uzi humu jukwaani unaitwa warembo worldwide na picha zao ukiscroll picha 5 tu huchomoi mkono lazima uusike.[emoji81]
Itakuwa mgeni twitter asee mbna zpo adi page wanaziendesha wabongo nying tuTwitter kuna porn? Page gani ninyi mnazofuatilia mbona wengine kutwa posts za Samsung na elon musk[emoji28]
Big no na kufa mapemaUkioa ukatulia na mmoja wala huangamii tatizo lenu mnataka kuonja onja kila sket ndo mana mnakufa mapema
Tunakukaribisha tena kwa moyo mkunjufu, kuanguka ni sehemu ya matokeo dawa ni kujianza upya na kukomaa vilivyoNimepatwa na maswahibu nika relapse naomba mnipokeeni comrades
View attachment 2297709
Itakuwa mgeni twitter asee mbna zpo adi page wanaziendesha wabongo nying tu
Tunakukaribisha tena kwa moyo mkunjufu, kuanguka ni sehemu ya matokeo dawa ni kujianza upya na kukomaa vilivyo
43 days.
Hii theory mbona kitambo walisha iprove wrong....acquired characteristics can never be inherited....yani ww ukipiga chuma ukajaza kifua maisha yakoo yoote...huwezi kuja kuzaa baunsa....kwa hiyo theory ya use na disuse ktk evolution ni uwongoHivi mnajua theory ya use and disuse mazee ...
"The more you use your body part,that part become more strong and perfect "
"The way you disuse your body part that part become weak and functionless finally disappear"
Wanabiologia walienda mbali nakusema zamani kabisa ostrich (mbuni) alikuwa na mabawa ya kuweza kuruka kutoka sehemu moja kwenda nyingine lakin alivokaa mazingira ambayo hayamsupport kuruka kwa muda mrefu mabawa yake yalikuwa weak na functionless ndio maana mpaka Sasa mbuni ana mabawa ila hawezi kupaa kama ndege wengine ...." Disuse of body part"
Twiga alikuwa na shingo fupi lakini baada ya ukame mkubwa na majani kuisha chini ya ardhi alianza kula majani ya mti na kitendo cha kuanza kuwa anaforce shingo yake kwenda juu mpaka Leo ile shingo imekuwa ndefu "use of body part"
Kwa maelezo zaidi kasome kitabu cha biology form 3 Kuna topic inaitwa "theory of origin and development".....
Sasa kwa nyie mnaotaka kukaa miaka hamfanyi Nina uhakika mnadhoifisha Hilo eneo na linaenda kuwa weak ....
Kumbuka " practice make more perfect " .....