Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Duh
 
True
Spiritual inakuepusha na mengi zaidi

Yaani nipate mtu wa hivi akute nimekaa muda mrefu pia ,halafu iwe siku yakutafuta mtt

Men....kitu puree
 
Kudos
Kumbe mkiamua mnaweza jmn
 
Nipo huku tarime, aisee kuna pisi mbovu sijawahi kuona dunia nzima.. Nimeona nijiunge tu na hii challenge na nina wiki sasa, nataka nikomae mwaka mzima mpaka ntakaporudi katika mji niliouzoea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndo ukweli
Pisi nyingi kali huwa zinahama huko na kuhamia kwenye majiji Mwanza, Dar etc
Hapo challenge yako hautapata changamoto nyingi
 
Comments za Wamwagiwa mbegu zimekuwa chache sana sijui wamesusa!! Mimi mwenye wake mbili mnanisaidiaje kujiunga...
 
Daa, mwanangu ww kama mm....nilijitunza muda mrefu...ila siku moja paaa...nikaanguka...nikajichua...daah,,roho iliniumaaa kinyaaama...ila nimeanza tena upyaa...naamini this time sitoanguka
 
Hii theory mbona kitambo walisha iprove wrong....acquired characteristics can never be inherited....yani ww ukipiga chuma ukajaza kifua maisha yakoo yoote...huwezi kuja kuzaa baunsa....kwa hiyo theory ya use na disuse ktk evolution ni uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…