Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Mm Kuna mtu mmoja alinioneshaga account fln ya tweteer bas bhna insta sizami Sana Wal insta balaa liko kwa Tweeter nashindwa kuikwepa zile account kila nikiwa na bando lazm nitembelee kule nione mjukano
 
Lete ushahidi

Ninafanya haya kwa ajili yangu, peke yangu, sioni tija ya kukuonyesha ushahidi kwamba nimepambana siku 64 and counting…..

Haitabadilisha kitu kama nikukupa au nisipokupa.

Uzi huu umenisadia kutimiza azma yangu, kwa ajili yangu.

Tunaokwenda pamoja, let us keep pushing [emoji1487][emoji1487]


Satisfied?
 
Sasa mbona bidii ya kutuangushia vitakwimu visivyo na evidence humu...kila baada ya masaa 24....boss!!! Back up your claims.. au cheza chini.
 
Sasa mbona bidii ya kutua ngushia vitakwimu visivyo na evidence humu...kila baada ya masaa 24....boss!!! Back up your claims.. au cheza chini.
Sielewi mantiki yako ni ipi, unataka ushahidi upi? Mtu akiamua kudanganya anaweza kuleta hizo screenshot za hizo app za kuhesabu lakini bado akawa anamwaga mbegu kama kawaida. Labda kama unataka upewe location ya mkuu ili uende uwe unashinda nae 24 hours ili upate huo ushahidi.

Just be inspired and not otherwise.
 
Sasa mbona bidii ya kutuangushia vitakwimu visivyo na evidence humu...kila baada ya masaa 24....boss!!! Back up your claims.. au cheza chini.

It won’t change a thing, jukwaa si lako na wewe sio muanzisha uzi.

Siangushi takwimu ili wewe peke yako uone, kuna wenzako ninakwenda nao nchi ya ahadi na kwa kuangusha takwimu nawapa moyo kuwa inawezekana.

Isipokupendeza wewe haimananishi kila mtu haitampendeza.

Naishia hapa.
 

Exactly, Umenena vyema.
Miili yetu haijafungwa sensor ya kudetect unapomwaga mbegu ipeleke taarifa kwenye App,
Kwa hiyo hata ukimwaga mbegu still App itaendelea kukuhesabia tu no matter what ndio maana sikuona haja ya kuleta screenshot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…