Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Kwa hyo unataka nambia mim wa mwanza naenda kufeli challenge mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndo ukweli
Pisi nyingi kali huwa zinahama huko na kuhamia kwenye majiji Mwanza, Dar etc
Hapo challenge yako hautapata changamoto nyingi
Huko na kwa kina rickboy sitaingia kabxaa....nyie ndo mnaleta vishawish kweny hii challengePia kuna uzi humu jukwaani unaitwa warembo worldwide na picha zao ukiscroll picha 5 tu huchomoi mkono lazima uusike.[emoji81]
Tupe changamoto tunaoanza mkuu ..maana leo ndo cku yangu ya nne
Day 5Day 4
That shit fucks everything mpaka kumbukumbuKatika pitapita huko mtandaoni kuna bandiko nimelikuta sehemu mimi kama muhanga wa haya makitu aisee limeniinspire sana, tena saana sio kidogo.Nikaona nishee nanyi.
Bango hilo inasema PORN AND MASTURBATION IS FREE BECAUSE YOU PAY WITH YOUR SOUL. Duuuhβ¦. Ukiyatafakari ni maneno mazito sana haya.
Niseme ukweli porn&puchu ni janga la dunia kmk.. linazidi kutuumiza vijana&wanaume[emoji58][emoji58]Katika pitapita huko mtandaoni kuna bandiko nimelikuta sehemu mimi kama muhanga wa haya makitu aisee limeniinspire sana, tena saana sio kidogo.Nikaona nishee nanyi.
Bango hilo inasema PORN AND MASTURBATION IS FREE BECAUSE YOU PAY WITH YOUR SOUL. Duuuhβ¦. Ukiyatafakari ni maneno mazito sana haya.
Niseme ukweli porn&puchu ni janga la dunia kmk.. linazidi kutuumiza vijana&wanaume[emoji58][emoji58]
Mleta mada maji yamezidi unga [emoji1787]Nilianza 8.8.2022. Wacha tuone itakavyokuwa...
Namuombea mleta mada pia!!!
Sawa sawa
Ila haukutupa mrejesho mzee, wa ule uzi wa muarabu uliyempania
65 days.
Ukiona hvo toka hapo ulipo katembee ka usiku nenda hata seblen kanywe majiJana ilibaki kidogo tu niende na maji[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikawa najiskia kama nafsi mbili zinabisha ndani yangu
Ya kwanzaπ±ya kastue hata kimoko
Ya pili:kausha
Ya kwanzaπ±ya mafuta yale paleee
Ya pili:kausha
[emoji23][emoji23]dah sema nliweza kukausha
Hii kitu ngumu yaani mpaka magoti yangu nayachukia kwa jinsi yalivyo. Ok naanza hii challenge leo tar 13/8/22 Muda 16:16 nikiwa nimetoka kupiga la pili geto.
Mungu Nisaidie nikae Mwezi tu kwanza.[emoji120]
Ok Let's go...........................
Nlikuwa seblen nikaona nikakojoe nikapanda kitandani nikajifunika na shukaUkiona hvo toka hapo ulipo katembee ka usiku nenda hata seblen kanywe maji