proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
hali yakoevery intercouse was anticipated for creation,
ukijaamiana kwa maagizo ya Mungu utazaa watoto,ukimusterbate unazalisha demons
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hali yakoevery intercouse was anticipated for creation,
ukijaamiana kwa maagizo ya Mungu utazaa watoto,ukimusterbate unazalisha demons
Siachi kuendeleaView attachment 2632055
Nofap ni kuepuka porn na kujichua.Vizuri sana.
Ukiangalia porn bila masturbation and sex, unakuwa umevunja masharti ?
Mkuu ulianzaga kama masikhara vile, day 1,2,3...Siachi kuendeleaView attachment 2632055
Bado tupo tunasongesha gurudumu.Wakuu mmefikia wapi?
Umefikisha siku ngapi?Bado tupo tunasongesha gurudumu.
Target ni kufika ngapi?Mimi nipo 260 daysView attachment 2693689
365Target ni kufika ngapi?
Hazihesabiki sasa zaidi ya mwaka.Umefikisha siku ngapi?
Dah, nimecheka sana mkuuHatuwali tena.
Tumegundua kumbe tunajimaliza wenyewe kisha tunakufa mnabaki nyie. Tumezoea kusema aaaaah yule dem nimesha mla lakini kinyume chake sasa sisi wanaume ndo tunakuwa tumeliwa.........
Maana tunapofanya mapenzi mwanamke yeye ana GAIN wakati mwanaume ana LOSE na ndiyo maana babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii. so what the hell is this!!!!!!?
Hongera MkuuHazihesabiki sasa zaidi ya mwaka.
Hii link hapa chini inaelezea kila kitu.Ni muhimu sana kuipitia huku kwenye link.Kuna watu kutoka mataifa mbali mbali wakielezea umuhimu wa hii kitu. Kisayansi inaitwa semen retention mafanikio yanakuwa makubwa ukifikisha siku 90 au 120. Japo inategemea mtu na mtu, kama kuna mtu ana maswali au ana changamoto atembelee hii subreddit. Kuna madaktari na wanaume wenzetu kutoka sehemu mbali mbali wakitoa ushauri wao na jinsi walivyofanikiwa. Hii kitu ina faida kubwa sana kiroho na kiakili.Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hii challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
Pia soma: Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa