Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Wanawake bana sijui vipi... mimi jana kuna demu mmoja jirani yangu na huwa hatunaga mazoea nae kihiiivyo sasa juzi kwenye mechi ya simba na yanga akasema mpaka akaangalie huko barabarani ni mbali hivyo akaomba aangalizie kwangu...me nikamwambia karibu.a. akaja tunacheki gemu weee sasa kipindi cha pili kimeanza nashangaa mtu anaanza kukaa vibaya vibaya anatanua tanua miguu huku anaichezesha chezesha hivi, nikaanza kumzingua zungua pale mara kakubali nikapiga kimoja. nikamwambia usiku aje alale kwangu nikaitandika ku..ma balaa. Kanuharibia chalenge yangu asee.

Hapa nimeona nianze rasmi tarehe moja mwezi wa sita.
Ushatucheat mkuu, ulisema unakitaka cheo Cha immortal
 
Wanawake bana sijui vipi... mimi jana kuna demu mmoja jirani yangu na huwa hatunaga mazoea nae kihiiivyo sasa juzi kwenye mechi ya simba na yanga akasema mpaka akaangalie huko barabarani ni mbali hivyo akaomba aangalizie kwangu...me nikamwambia karibu.a. akaja tunacheki gemu weee sasa kipindi cha pili kimeanza nashangaa mtu anaanza kukaa vibaya vibaya anatanua tanua miguu huku anaichezesha chezesha hivi, nikaanza kumzingua zungua pale mara kakubali nikapiga kimoja. nikamwambia usiku aje alale kwangu nikaitandika ku..ma balaa. Kanuharibia chalenge yangu asee.

Hapa nimeona nianze rasmi tarehe moja mwezi wa si

Wanawake bana sijui vipi... mimi jana kuna demu mmoja jirani yangu na huwa hatunaga mazoea nae kihiiivyo sasa juzi kwenye mechi ya simba na yanga akasema mpaka akaangalie huko barabarani ni mbali hivyo akaomba aangalizie kwangu...me nikamwambia karibu.a. akaja tunacheki gemu weee sasa kipindi cha pili kimeanza nashangaa mtu anaanza kukaa vibaya vibaya anatanua tanua miguu huku anaichezesha chezesha hivi, nikaanza kumzingua zungua pale mara kakubali nikapiga kimoja. nikamwambia usiku aje alale kwangu nikaitandika ku..ma balaa. Kanuharibia chalenge yangu asee.

Hapa nimeona nianze rasmi tarehe moja mwezi wa sita.
Challenge inaugumu wake unakomaa unatulia hayo mambususu yanajileta roho inauma Sana kuona iron will inaanza upya Tena lkn Hakuna kukata tamaa lazima wanaume tukipambanie Kwanza
 
[emoji1787][emoji1787]Muasisi ashaharibu sijui wafuasi huko itakuwaje.
Yani niliteleza man. ila kuanzia tarehe moja june naanza tena rasmi maana naona huu mwezi wa tano umekaa kishetani kweli asee
 
Challenge inaugumu wake unakomaa unatulia hayo mambususu yanajileta roho inauma Sana kuona iron will inaanza upya Tena lkn Hakuna kukata tamaa lazima wanaume tukipambanie Kwanza
Acha tu asee iron will ikianza upya roho inauma sana..... najua hata waliofanikiwa walianza kwa kuanguka kama hivi ila baadae wakasimama... mimi baada ya kuharibu juzi nimeona acha tu huu mwezi uishe ila tarehe moja juni nalianzisha tena.. na hiyo itakuwa ni no mercy mzee..yani nitakaza kweli kweli...
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Na Mimi nataka nianze hasahasa nataka niache masterbation.lakini imekuwa ngumu kuacha sijui nifanyaje lakini naona kuanzia tarehe 1 niache hii challenge.
 
Ase shule zimefunga tutajionea mengi

Ukimaliza hiyo jiunge 40mil challenge....
Hii unatafuta 40mil capital ndani ya miaka miwili
Sema hiyo mzeebaba si inategemea na kipato chako maana kwa wazee kwa bukubuku kila siku hufikishi huo mzigo ni mnene saana
 
Nakushauri uache kucheki porn/picha chafu ili brain igeuke kuwaza Mambo mengine maana ndio mzizi mkuu.Halafu masterbation ifuate ni mtazamo wangu
Tena hapoa ndiyo pakukazia kweli kweli.... ni mwendo wa kuunfollow page zote zenye wadada mawezele huko instagram..
 
Let's go
Screenshot_20220531-005912.jpg
 
Back
Top Bottom