Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nina siku ya 172 leo,asubuhi nimepata ndoto ya kula demu ila mwili umegoma na umeshtuka haraka.

Siachi kuendelea
Shida inatokea pale umepepesa kny ule Uzi wa ULISHA WAHI KULA TUNDA KIMASIHARA


au ule wa To yeye kuikalia na mbuzi kagoma Kuna mengi kule utaharibu, ila Kuna wababe wanatazama video za warumi lakini hata hawamwagi

Usipite fb au telegram utaharibu kabisaaa
 
Zile ndoto nyevu mnazihesabiaje? Ufafanuzi tafadhali..NoFap fap fap fap...
Ndoto Ile Haina shida zinakuja tukiwa unconscious mind, wakati mwingine ni hupunguza uchafu, na hutokea pale ambapo hakuna msuguano wowote na hutumii nguvu ndio maana ukitokewa na ndoto nyevu mwili haushiwi nguvu Bali unadunda tu ila Nyeto sasa hata mtu akupe jembe siku hio uko hola
 
Shida inatokea pale umepepesa kny ule Uzi wa ULISHA WAHI KULA TUNDA KIMASIHARA


au ule wa To yeye kuikalia na mbuzi kagoma Kuna mengi kule utaharibu, ila Kuna wababe wanatazama video za warumi lakini hata hawamwagi

Usipite fb au telegram utaharibu kabisaaa
Ule uzi wa kula tunda unaongoza kwa luniharibia challenge
 
Shida inatokea pale umepepesa kny ule Uzi wa ULISHA WAHI KULA TUNDA KIMASIHARA


au ule wa To yeye kuikalia na mbuzi kagoma Kuna mengi kule utaharibu, ila Kuna wababe wanatazama video za warumi lakini hata hawamwagi

Usipite fb au telegram utaharibu kabisaaa
Twitter
Kuna kitu kinaitwa watoto wameshalala thread
 
Shida inatokea pale umepepesa kny ule Uzi wa ULISHA WAHI KULA TUNDA KIMASIHARA


au ule wa To yeye kuikalia na mbuzi kagoma Kuna mengi kule utaharibu, ila Kuna wababe wanatazama video za warumi lakini hata hawamwagi

Usipite fb au telegram utaharibu kabisaaa
Usijichanganye ukapita uzi wa Picha za Warembo worldwide.


Halafu upite kabla ya mods hawajapita
 
Back
Top Bottom