Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Hadi unitest ndo utaona hivihivi huwezi kujuaNitaaminije ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi unitest ndo utaona hivihivi huwezi kujuaNitaaminije ?
Maisha.Dah Leo nime cheka Sana😆😄🤣, eti Lina tumalize😄🤒
Tunapambana mkuu natafuta wiki ya 11 siku ya 74 leoView attachment 2856633
Hapo kwny UBUSY nakuunga sana mkono kuna wiki mbili hv sitozisahau nlikua nafanya kazi km Mashine na nlikua natembea umbali mrefu knoma kwnda na kurudi Job aiseeee kila nkifka Geto nlikua nawaza kulala tu huezi kuitamani Mbususu kabsaaa...Ili uweze kustahimili una hitaji[emoji116]
1.𝗞𝘂𝗷𝘂𝗮 𝗺𝗮𝗱𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗰𝗵𝗼𝗸𝗶𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮
[emoji3591]Sababu kama ukiona unachokifanya hakina madhara basi utaona hakuna haja ya kuacha utamu unao upata.
2 .𝗨𝗮𝗺𝘂𝘇𝗶 𝘂𝗹𝗶𝗼 𝗱𝗵𝗮𝗯𝗶𝘁𝗶 , yani fanya maamuzi kutoka moyoni kwamba naacha hichi kitu kwanzio leo mpaka muda fulani(hata kitokee nini)
[emoji3591]Maana ukiamua kuacha ndo unashangaa kuna vitu vinatokea tu ili mradi urudi kule kule.
3 .𝗠𝘂𝗻𝗴𝘂 , bila Mungu utakuwa unafanya kazi bure
[emoji3591]Muombe sana Mungu naye atakusaidia kwenye safari yako hasa hizi safari za muda mrefu
4. 𝗨𝗯𝘂𝘀𝘆 unasaidia sana kwenye hii challenge , yani utakusaidia muda mwingi usiwaze au kupata muda wa kutaka kufanya hivyo vitu.
Yani hata ukipata muda basi utakuwa unawaza kupumzika tu ili kesho upate nguvu ya kufanya kazi zako.
Ni hayo tu ya umuhimu sana , mengine ni ya kuongezea ongezea.
Kila la heri mkuu hakuna lisiliowezekana ukiamua.Hongera sana. Hopefully tutafika huko nasi.
Kila la heri mkuu hakuna lisiliowezekana ukiamua.
😂 mm nilifeli aseee, akukuja shetani mkali sanaMkuu safari hii kuna wakati majaribu ni makali Yaani shetani anakukaba koo kuchomoa ni mbinde [emoji1787]
Nasema Christmas ilibaki nukta niharibu challenge, Nashukuru haikutokea. Nazidi kuimarika.
Thanks mkuu 🤝Ukidhamiria unaweza.
Meditation is a key as it gives you consciousness and alertness to your thoughts and habits. Practice it as much as you can.
Eventually you’ll come to a realization that you can control and train your mind how to act and respond to external stimuli but mostly important your internal thoughts is under your own control.
A ship doesn’t sink because of water around it but once the water get in it sinks. Same to your mind, external environment around us is similar to water around the ship but once we allow external turbulence to get into our minds it’s when we sink into toxic habits such pornography, masterbution, random sex etc
Kuanza ni sasa kesho ni illusion mkuu[emoji16][emoji16]
Hahahasawa mkuu
[emoji23] mm nilifeli aseee, akukuja shetani mkali sana
[emoji23] mm nilifeli aseee, akukuja shetani mkali sana
Nipo siku ya 366 leo!
Download app inaitwa rewire companion. Itakusaidia kutrack na kupata wenzako wa kufanya challenge.Aise hongera sana Mkuu.
Am inspired to move forward!
Download app inaitwa rewire companion. Itakusaidia kutrack na kupata wenzako wa kufanya challenge.
Download app inaitwa rewire companion. Itakusaidia kutrack na kupata wenzako wa kufanya challenge.
Dah! Pole ila pia unaweza kuingia online ila login au tafuta alternative zipo nyingi japo mimi hiyo ndio nimepata experience nzuri. Imagine leo ni day 368! Bila ujinga.Unfortunately natumia iPhone, hiyo app ipo kwa Android users. Sad!
Unaweza, na ukiweza kuishinda hiyo kitu, utaweza mambo mengine mengi sana.Aise hongera sana Mkuu.
Am inspired to move forward!