Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unataka kurelapse ndo unasema hivyo kuhesabu siku njia mbaya. Ila ukishajikamua mara nyinginyingi taratibu unaanza kujuta, unaamua u download app uanze upya kuhesabu sikuhii kuhesabu siku ni mbaya, nitatumia njia nyingine
Day 4Day 3.
Malengo 100+ days
Kama una mpenzi sasa unataka nofap ya nini? Ww kula mbususu hiyo, ila tu usipige nyeto na kuangalia xHii challenge ngumu sana kama una mpenzi just imagine mimi mtu wangu alikuwa mbali sasa kafika wiki iliyopita tangu jmos namkwepa nisimshughulikie kaniona kama nasaliti ivyo nimekamua sana jana, Ninachoshukuru ni mkristo na anaenda kufunga kwaresma nitajitahidi katika siku hizo.
Au wenzangu wenye wapenzi mnafanyaje usimpoteze kipenzi chako kwa maneno yatayomfanya asione unamkwepa??
Bro ume potea jukwaa la series.Hii challenge ngumu sana kama una mpenzi just imagine mimi mtu wangu alikuwa mbali sasa kafika wiki iliyopita tangu jmos namkwepa nisimshughulikie kaniona kama nasaliti ivyo nimekamua sana jana, Ninachoshukuru ni mkristo na anaenda kufunga kwaresma nitajitahidi katika siku hizo.
Au wenzangu wenye wapenzi mnafanyaje usimpoteze kipenzi chako kwa maneno yatayomfanya asione unamkwepa??
Mpenzi sio mke mkuu kwahiyo nafanya zinaa tuKama una mpenzi sasa unataka nofap ya nini? Ww kula mbususu hiyo, ila tu usipige nyeto na kuangalia x
App ya JF miyeyusho kila nikiingia kwenye uzi unanidirect kwenye browser sasa mimi uko kwa browser naona kugumu sanaBro ume potea jukwaa la series.
Update app, Afu uwe navyo vyote.App ya JF miyeyusho kila nikiingia kwenye uzi unanidirect kwenye browser sasa mimi uko kwa browser naona kugumu sana
Siku kadhaa tu mnalalamika Ivo[emoji2] Nina miaka miaka miwili Sasa, lengo mpaka siku ya FUNGATE.
App nikiupdate picha sioni au wametengeneza tayar?Update app, Afu uwe navyo vyote.
[emoji117]Mi mbona natumia app na iko POA Sana.
[emoji117]Update chrome pia
NdioApp nikiupdate picha sioni au wametengeneza tayar?
5 daysDay 4
Imeandikwa 'USIZINI' naishi humu mkuuMkuu Sasa Hizo Sifa[emoji23]
Basi ngoja ni updateNdio
Bado bhana mkuuNdio
Wasiliana na moderator waku saidieBado bhana mkuuView attachment 2904745