Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Utazeeka ukisubiri mkuu. Kaapishwa na jaji mkuu na ushahidi upo.Subiri huyu maza soon anaondoshwa ashashindwa kuongoza hii nchi ovyo Sana Huyu Maza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utazeeka ukisubiri mkuu. Kaapishwa na jaji mkuu na ushahidi upo.Subiri huyu maza soon anaondoshwa ashashindwa kuongoza hii nchi ovyo Sana Huyu Maza.
WAPINZANI wa Rais SSH hamna hoja kwa kuwa Mama anaupiga mwingi , mumeishia kuchukua NON ISSUES na kuzifanya kuwa ndiyo UKOSIAJI. Kimsingi Uchifu wenye AUTHORITY ulifutwa wakati wa Nyerere. Ila bado makabila yanawaheshimu Machifu katika mambo ya kimila. Na hakuna kabila lisilo na Mila. Pili Rais Samia siyo wa kwanza kusimikwa Uchifu wa makabila mbalimbali. Angalia hapa Mbowe, Mnyika na Lissu View attachment 2093093View attachment 2093094
View attachment 2093095
Huyo mama anamgonga matakoni Lugola Dah.
kila siku huwa tunawaambia leteni ushahidi kuwa yeye ndiye alihusika kwa yote hayo , ila huwa mnaishia kulialitu .Tunamkumbuka kwa mengi! Ben saanane, Azory gwanda, Tundu lissu kwa kweli marehemu acha apumzike tu!
usiwapangie watu mtu wakupenda bwana kama wewe hukumpenda basi , na kumuelewa kwako Magufuli siyo walivyomuelewa wengine au unatakusema wewe ndiye mwenye akili kuubwa na nyiiingi kuzidi wale watu waliookuwa wanajaa mabarabarani kutatuliwa shida zao au unadhani wewe ndiye unayejua zaidi ya wale watu walijaa mabarabarani wakilia na kutandika nguo na mashati siku wakimuaaga.Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.
Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.
Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.
Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam.
Sio sababu hautaamini .Utazeeka ukisubiri mkuu. Kaapishwa na jaji mkuu na ushahidi upo.
wewe sindiyo yule asikari magereza babu wakule butimba ulikuwa ukionea wafungwa.Kunywa kinywaji roho yako inapenda. Magufuli atabakia tu kuwa ni Mwongo, Mwizi, muuaji na mvuruga uchumi wa Tanzania.
Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea duniani Shetani yule
eti na wewe great thinker duhNa kweli mlibomoa Kwa kupandikiza fitna chuki na SIASA chafu na propaganda za KITOTO mara kuokota vichwa vya treni mara kununua mapapai barabarani na kuhonga vihela ktk misafara TULIKUA TUNATAWALIWA NA WASHAMBA
Mama sasa anaupiga mwingi mmechanganyikiwa
Hawawezi kuthibitisha yasiyokuwepo.kila siku huwa tunawaambia leteni ushahidi kuwa yeye ndiye alihusika kwa yote hayo , ila huwa mnaishia kulialitu .
satuwasaidie nini .
Usikute wewe ni Bashite upo sahihiMagufuli alikuwa ni Rais bora sana.
nni maana yako hapo yaaani pesa ipo ila thamani haina siyo! kwa anko pesa ilikuw na thamani ndiyo maana vitu vilikuw chini siyo.Vitu vimepanda bei Kwa sababu pesa ipo mtaani.
Wakati wa jiwe vitu vilikuwa bei chee Kwa sababu hela haikuwepo na vyuma vilikaza.
Wakati huu vitu bei juu ila hela ya kununua ipo.
Kariakoo sasahivi biashara ni kama zamani.
dhalimu kwako wee mwizi.Rais wa hovyo aliyeua uchumi.Saizi tunafanya Kazi na pesa tunaiona.
Kichaa tuu na wale mnaitwa wanyonge ndio mnaweza mkumbuka yule Dhalimu.
Huna jeuri ya kufanya lolote zaidi ya kuishia kuondoa hasira kichwani kwa kuandika humu jamii forum.Sio sababu hautaamini .
Gwajima na JPM walikuwa matapeli tuVipi kuhusu ule mpango wa Gwajima kumtoa Magufuli kuzimu?🤣🤣🤣
Alikuwa kibaka wa hali ya juu, akitumia dola kuzuia watu wasimuwajibisheBaba yako wa Chato hakuruhusu kuiba wengine ila ikawa ni halali yake kuiba na kikundi chake cha kabila lake. CAG Prof Assad alimkuta na upotevu wa Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 2016-18. Akaishia kimtoa kazini.
Acheni UJINGA wa kuamini kuwa Magufuli alikuwa mtetezi wa wanyonge. Tanzania haijawahi kupata Rais mwizi kuIzidi Magufuli
Kijana kafanye kazi upate hela, acha UJINGA na ndoto za kuota baada ya kuvuta bangi bila kula.Subiri huyu maza soon anaondoshwa ashashindwa kuongoza hii nchi ovyo Sana Huyu Maza.
Alikuwa useless president ever 😃😃dhalimu kwako wee mwizi.