Umenishtua, upo salama lakini?Nafuta dear ilikuwa utani ila umepitiliza.
Njoo ufute pia
Kumbe mnanipenda eeh๐๐. Nipo poa kabisa. Sasa mbona haujafuta ile umeniquoteUmenishtua, upo salama lakini?
Sana na ukipendwa ringa๐Kumbe mnanipenda eeh๐๐. Nipo poa kabisa. Sasa mbona haujafuta ile umeniquote
๐๐๐Sana na ukipendwa ringa๐
Nmeshaifuta tayari.
Usirudie kunitisha โบ๐๐๐
Ila mdau na wewe ni kiboko, ulijuaje kama ni ya muda wakati hukuwahi kuiona, ningekuwa karibu ningekuzaba makofi (jokes)duuh nkajua ni ya muda aisee huyo amefariki tu
Sawa sirudii tena๐Usirudie kunitisha โบ
Inaelekea ana majanga yake mengi yanamzonga kabla ya kupanda boti maana Kwa kuiangalia clip unaona ameinuka baadae mtu alikuwa jirani akashituka kufuatilia (inaonekana wapo wote, hapa unaonyesha kama jamaa may be hayupo sawa kiafya hivyo jamaa kama akataka kujua kulikoni kainuka anakwenda wapi na Hali yake).Kuna sababu nyingi hapo, inawezekana hakuwa hata na hilo wazo la kujirusha wakati akipanda boti, wazo limemkuta huko huko baada ya kuzikumbuka changamoto zilizo mbele yake, ndio akaona hapana, bora safari ya maisha yangu iishie hapa.
He paid 35,000/= for his death, kweli siku hizi hakuna kitu cha bure.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Vizuri basi na iwe siku njema kwako.Sawa sirudii tena๐
Asante sana ikawe njema na kwako piaVizuri basi na iwe siku njema kwako.
Amen ahsante sana.Asante sana ikawe njema na kwako pia
๐๐๐dah nimesikitka sana. vp hujalia sana mkuu?
Maisha magumu wakuu... Vijana hatuna pa kushika. Mliokuwa juu ya mfumo Extrovert mshamba_hachekwi mzabzab Hannah LEGEZENI
Inawezekana kama wanavyosema hapo juu kuwa hali ya bahari haikuwa shwari labda alipanic akaona awahi kujisalimisha kwa kuruka nje...Mamlaka Husika Imethibitisha Hilo.View attachment 2879110
napenda sana chuma kikichanganya kinaacha povu nyuma kule