Nimeona video ya kijana akijirusha kwenye boat ya Zanzibar fast ferries, nini kilijiri?

Inaelekea ana majanga yake mengi yanamzonga kabla ya kupanda boti maana Kwa kuiangalia clip unaona ameinuka baadae mtu alikuwa jirani akashituka kufuatilia (inaonekana wapo wote, hapa unaonyesha kama jamaa may be hayupo sawa kiafya hivyo jamaa kama akataka kujua kulikoni kainuka anakwenda wapi na Hali yake).
N:B. Sina uhakika ila nimetengeneza hisia kulingana na video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ