Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
😀😀😀. Mkuu kwani kujiua kuna muda wake maalumu?Kuna namna, asubuh yooote hiyo mtu anaamkia kujiua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀. Mkuu kwani kujiua kuna muda wake maalumu?Kuna namna, asubuh yooote hiyo mtu anaamkia kujiua?
hiyo ya muda labda ulijirusha wew... hiyo juzi tu hapovideo ni ya mda hyo mkuu
Hata mimi napenda sana chuma kikichanganya unabaki kuachama mdomo tunapenda sana chuma kikichanganya kinaacha povu nyuma kule
qmmmmqq
Hata mimi napenda sana chuma kikichanganya unabaki kuachama mdomo tu
Boti ilikuw ainatoka Pemba Kwenda Unguja lakini kutokana nahali mbaya ya Hewa ikalazimika kurudi Unguja?Mamlaka Husika Imethibitisha Hilo.View attachment 2879110
Boti ilikuw ainatoka Pemba Kwenda Unguja lakini kutokana nahali mbaya ya Hewa ikalazimika kurudi Unguja?Mamlaka Husika Imethibitisha Hilo.View attachment 2879110
Lawama zote ziwe juu yakoo.hiyo ya muda labda ulijirusha wew... hiyo juzi tu hapo
Coach kwemaMy first thought too.
Amerudi nyumbani kwao, kamaliza yaliyomleta.
Ama samaki mtu. (Luca animation)
huyo kachanganyikiwa mwenyewe tu kaka..!!Lawama zote ziwe juu yakoo.
Ona sasa unawafundisha watoto kula kimaskhara hadi wanajirusha baharini.
Naamuru ukamatwe.
boat zina camerasHuyo alie record ni kama alijua kuna mtu atajirusha akaweka sawa camera![]()
ni huzuni mkuuðŸ˜ðŸ˜hiyo ya muda labda ulijirusha wew... hiyo juzi tu hapo
Angalau jioni jioni au usiku ndugu yangu baada ya kuconfirm na hii siku imegoma kwenda.😀😀😀. Mkuu kwani kujiua kuna muda wake maalumu?
ðŸ˜ðŸ˜ningelia sana mkuuIla mdau na wewe ni kiboko, ulijuaje kama ni ya muda wakati hukuwahi kuiona, ningekuwa karibu ningekuzaba makofi (jokes)
hapana ila nimesikitika sana mkuu nusu kuliaðŸ˜ðŸ˜dah nimesikitka sana. vp hujalia sana mkuu?
Ninachosema nilikishuhudia hakika, kwa vile sikuona mtu akishangaa mwenzetu kurukia ndani ya maji ikanilazimu nikae kimya huku nikijiuliza.Acheni fikra za kishirikina ukiona shida suicidal kama hivyo...tafuteni real reason na msuluhishe sio mnawaza uchawi
Wahanga wanalaumiwa... Huu mpango wa jamii ni mzito sana kwa vijanaNa Samia anasema vijana hatutaki kuoa.