Nimeona video ya kijana akijirusha kwenye boat ya Zanzibar fast ferries, nini kilijiri?

Yule jamaa aliyekuwa nae karibu alikuwa anajua jamaa kinachomsumbua ndomana alivyoamka tu fasta akamkimbilia(alikuwa anajua nini kinaenda kutokea)
 
Tukio limetokea Zanzibar kwa wavaa vijora, maisha yamekua magumu sana ukizingatia vijana wa visiwa ni watu wa urojo urojo na kukaa vibarazani na dada zao wakati maisha yamekua magumu.

Kijana akaamua ajiwaishe upande wa pili akapewe mabikra 72 na mifereji ya pombe basi ni kupayuka Alauakibaru kisha kujiKanumba.

Aidha uamuzi huo ni wa kupongezwa kwani kajiondoa kimya kimya kuwafuata mabikra 72 bila kulipua meli na watu wasio na hatia. Huu ni mfano wa kuigwa na hawa kunguni wavaa madera na vibaragashea.

Aidha pia hawa wajinga wote wakijiondoa kimya kimya kwa mtindo huu hapa duniani tutabaki na amani sana, ugaidi utaisha. Takbiiir
 
Acheni fikra za kishirikina ukiona shida suicidal kama hivyo...tafuteni real reason na msuluhishe sio mnawaza uchawi
Inawezekana ni mtu kabisa ambaye ameamua kujiua, lakini pia hivyo viumbe vipo...

Nilishawahi panda gari (Coaster), ilikuwa usiku kuna binti alikuwa ashuke kituo fulani, lakini wakati konda anasimsamisha gari yule binti ashuke hakuonekana ndani ya gari, na hakumuona akishuka kituo chochote
 
Story yako inatufundisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…