Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.

Ila kama hainitoshi, inadondoka.

Naitafuta naipata navaa tena.

Nikijisahau inavulika inadondoka.

Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Ndoto izo nyingi hua ni jini mahaba ila mda mwingine pia hua ni bahati
kma jini limefeli kukudhuru
na kma bahati utaikosa

au inaweza kuja bahati ila kwa kuchelewa pana tafsir nyingi ila hizo ndio kuu

sio uongo ni ukweli nakwambia
 
Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.

Ila kama hainitoshi, inadondoka.

Naitafuta naipata navaa tena.

Nikijisahau inavulika inadondoka.

Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Bara wewe, jamaa alimkuta mbwa jike live gettoni kwake kalala chali Kapanua miguu..mlango umefungwa mbwa kapitapitaje hapo sasa.

Hadi leo jamaa anahangaika tu kuoa bado umri unasogea.
 
Ndoto izo nyingi hua ni jini mahaba ila mda mwingine pia hua ni bahati
kma jini limefeli kukudhuru
na kma bahati utaikosa

au inaweza kuja bahati ila kwa kuchelewa pana tafsir nyingi ila hizo ndio kuu

sio uongo ni ukweli nakwambia
Ahsante sana kwa ushauri
 
Unatafuta mchumba,Punguza kuwaza sana habari za Ndoa.
 
Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.

Ila kama hainitoshi, inadondoka.

Naitafuta naipata navaa tena.

Nikijisahau inavulika inadondoka.

Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Nenda duka asili hapo mtaani kwenu
Nunua fusho chafu,kibiriti upele changanya jifukize,,,ila kibiriti weka kidogo sana
Usidharau mwiba
 
Kwa stori za watu wengi nilizowahi kusikia juu ya ndoto za aina hii (na kama ni kweli)
Kuna uwezekano umechumbiwa /kuolewa na jini tayar.
Kama ni wa imani shika imani yako usali sana na kama ni njia ya kushoto basi ipambanie
 
Kuna ndoto za kibinadamu
Kuna ndoto za kimungu na
Kuna ndoto za kishetani.

Kwa wadada kuota ndoto zinazohusiana na uchumba na hharusi mara nyingi ni ndoto za kibinadamu kwani ndilo jambo ambalo mnalitazamia kuliko hata kuja kwa Yesu
 
Achana nayo Ni maluelue tu, Maana Bible inasema siku za mwisho vijana wataona maono na wazee wataota ndoto, so wewe siyo mzee,that is theological point of view!
 
Back
Top Bottom