Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.

Ila kama hainitoshi, inadondoka.

Naitafuta naipata navaa tena.

Nikijisahau inavulika inadondoka.

Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Anayekuvalisha Pete hiyo unamjua?? Je ni mchumba wako??
1. Kama ni mchumba wako sali sana kemea na kataa roho inayozuia baraka zako kupitia ndoa.
2. Kama sio mchumba wako sali sana maana huyo ni spiritual husband ambaye atasababisha usiolewe kwenye ulimwengu huu wa kawaida maana ni kama unakuwa mke wa mtu tayari kwenye ulimwengu wa roho.

All in all sali sana muda wote ili uweze kupata ulinzi wa ki-Mungu muda wote.
 
Hiyo ndoto inamaanisha, wachawi walokuwa wanakufungisha ndoa makaburini lakini hawakufanikiwa kwani umewashinda. Kwahiyo unachohitaji ni kuomba sana Mungu.

NB: usije kwenda kwa mganga ukienda huko tu wanakudaba. Unachotakiwa kufanya ni kusoma biblia hasa vitabu vya MATHAYO, MARKO NA LUKA.
 
Nikupe ushauri.
Nenda kwa huyo mchumba ukiwa na machi makavu...mwambie kuna nabii amenipa unabii kuwa unanidanganya huna mpango wa kunioa...
Ukiona ameshtuka ujue hakuna uchumba hapo😅😅😅
Duh!
 
Mkuu embu pambanua ndoto ili tafsiri sahihi uipate eleza pete inavuliwa na nini haswa yenyewe au kuna external force,au kama sinyo ulikuwa umelivaa lililokupwaya au inatokaje?
Lingine inadondoka kwenye mazingira gani na upo na nani wakati knadondoka
Unakuwa na hali gani ikishadondoka furaha/huzuni/hasira, unaisi umeachwa na mwenza wako au yupo na mwanamke mwingine wakati bado yupo na wewe izo condition ndio zinaketa tafsiri sahihi ya ndoto yako
 
Anayekuvalisha Pete hiyo unamjua?? Je ni mchumba wako??
1. Kama ni mchumba wako sali sana kemea na kataa roho inayozuia baraka zako kupitia ndoa.
2. Kama sio mchumba wako sali sana maana huyo ni spiritual husband ambaye atasababisha usiolewe kwenye ulimwengu huu wa kawaida maana ni kama unakuwa mke wa mtu tayari kwenye ulimwengu wa roho.

All in all sali sana muda wote ili uweze kupata ulinzi wa ki-Mungu muda wote.
Mkuu huyu meneja aombe neno moja tu.
Mapenzi ya Mungu yatendeke
 
Hiyo ndoto inamaanisha, wachawi walokuwa wanakufungisha ndoa makaburini lakini hawakufanikiwa kwani umewashinda. Kwahiyo unachohitaji ni kuomba sana Mungu.

NB: usije kwenda kwa mganga ukienda huko tu wanakudaba. Unachotakiwa kufanya ni kusoma biblia hasa vitabu vya MATHAYO, MARKO NA LUKA.
Mbona haziusiani na ndoto hizi mkuu?
 
nipe inbox majibu haya
uliva pete kidole kipi na mkono gani,
hali uliyokuwa nayo unapovishwa pete,
ulikuwa maeneo gani,
ilikuwa pete ya rangi gani?
mazingira ya tendo husika la kuvishwa pete
unaweza isimulia upya kwa kuzingatia hayo maswali ama ukayajibu moja kwa moja.
siwezi jibu hadharani narudia tena sitajibu hadharani ukiona inafaa mwenye ndoto utapost hadharani
 
Back
Top Bottom