Ndoto izo nyingi hua ni jini mahaba ila mda mwingine pia hua ni bahatiNimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Sawa nashukuru kwa mnavyo endelea kunifumbua macho.Nakazia
Swala la ndoa sahau mkuu
Hapo kuna mchezo mchafu unachezewa
Ndugu yangu wewe umejuaje, mbona mm nashindwa kuielewa.Utaachwa maana yake
Bara wewe, jamaa alimkuta mbwa jike live gettoni kwake kalala chali Kapanua miguu..mlango umefungwa mbwa kapitapitaje hapo sasa.Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Ahsante sana kwa ushauriNdoto izo nyingi hua ni jini mahaba ila mda mwingine pia hua ni bahati
kma jini limefeli kukudhuru
na kma bahati utaikosa
au inaweza kuja bahati ila kwa kuchelewa pana tafsir nyingi ila hizo ndio kuu
sio uongo ni ukweli nakwambia
ahsante kwa ushauriFanya maombi sana pata msaada wa mhudumu makanisa ya kiroho. Mahusiano Yako yanaweza kuwa hayatengamai ukijitahid kuyaweka sawa Ili mfike lengo yatakua yanaharibika.
Ahsante kwa kunifumbua macho.Nakazia
Swala la ndoa sahau mkuu
Hapo kuna mchezo mchafu unachezewa
ahsante sana dada,Omba sana, nenda makanisa ya kiroho...
Utaolewa
Nenda duka asili hapo mtaani kwenuNimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Kemea pepo la usingo mazaNimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Nina kilinge hapa Manzese karibuNdugu yangu wewe umejuaje, mbona mm nashindwa kuielewa.
kwann umejuaje kupitia hiyo ndotoHuyo Mchumba wako si sahihi kwako
Samahani ndugu Donatila ,makanisa ya kiroho ni yapi na makanisa yasiyo ya kirohoni yapi!!??Omba sana, nenda makanisa ya kiroho...
Utaolewa