Nimeota ndoto kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo

Nimeota ndoto kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo

Niliwahi kuambiwa na mtu wa ndani wa chama tawala jinsi ya mikakati walivopanga nikajua masihara, naona inatimia wameanza na Lijualikali anafuata Lema na wanapima upepo wananchi tuna react vipi
akitoka hapo,aende amung'oe mbowe!
 
Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Usikute jamaa ndio hakimu alomfunga mbunge.
 
dah humu ndani ni shida watu wanafukunyua sana
 
Toka Tanzania ipate Uhuru sijawahi kusikia mbunge kafungwa
Ila hii imevunja record na hii inanipa mashaka sana na mahakama za Tanzania kwamba zinatumika kisiasa.
Kwani mbunge yupo juu ya Sheria?.
 
Take care unaweza kumharibia ndugu yako kazi yake au rafiki yako au jamaa yako au hata mkeo wako kama ana connection ya hukumu la kesi ya Mbunge wa Ifakara in case wenye kazi zao wakiamua wafanye kazi zao.

Kwasababu ulichoandika kama mada na msisitizo wa hiyo unayoiita ndoto yako inajirudia na taarifa yake mmmmh Mashaka matupu!!!!

Anyway!! Feel free bwana sijakuhumu but take care na hizo ndoto za kuishirikisha jamii!! Kama enzi za akina Daniel na Yusufu ktk Bible.
 
Ww ni ccm na unalijua hili vema na ndio maana lijuakali kafungwa
 
Mipango ya CCM siku hizi ni NDOTO?...
Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
 
Tayali jua kali wa kirombero kapigwa mvua sita
 
Take care unaweza kumharibia ndugu yako kazi yake au rafiki yako au jamaa yako au hata mkeo wako kama ana connection ya hukumu la kesi ya Mbunge wa Ifakara in case wenye kazi zao wakiamua wafanye kazi zao.

Kwasababu ulichoandika kama mada na msisitizo wa hiyo unayoiita ndoto yako inajirudia na taarifa yake mmmmh Mashaka matupu!!!!

Anyway!! Feel free bwana sijakuhumu but take care na hizo ndoto za kuishirikisha jamii!! Kama enzi za akina Daniel na Yusufu ktk Bible.
Punguza mihemko bwana mkubwa hivi wewe waniona Mimi mwehu sina uhusiano Na yeyote nasisitiza hiyo ni ndoto Na itabaki kuwa ndoto .hivi kwa nini watanzania mnakuwa kama Tomaso
 
Back
Top Bottom