Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu

Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu

Na siku ukiota umepata mimba na kuzalishwa watoto mapacha, pia uje utuambie. Na uzuri ndoto zako hazidanganyi! kwa hiyo hakuna sababu ya kutuficha.
Bado masaa machache utarudi hapa kuomba radhi.
 
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Angalia usije ota unakunya kitandani..!! Na hivi umesema ndoto zako haziongopi, sijui..!!!
 
Na achapwe tu...
Hivi utopolo wana rekodi yeyeto ya kumfunga mwarabu?
1737187489624.png

Hawa hapa walikuwa wandengereko
 
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Mimi nimeota moja la maudhi
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
You are right chief
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Unatetemeka hadi makalio kama yule jamaa anaetembea anakata uno!!
 
Back
Top Bottom