cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
Napenda Ile idea yao ya Furniture na Lights tu
And the music is awesome!
And the music is awesome!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kupotezewa wewe. Nishakutangazia inatosha. ByeBiashara matangazo, umefanya vyema!
Lazima utauza.
Unawahi leo! Mapema yote hii! Wape salamu.Wa kupotezewa wewe. Nishakutangazia inatosha. Bye
Nipe dondoo kidogoKuna jamaa hapa anasema nikuambie usiende na mkeo,utajilaumu. Utashindwa kuzungusha antena huku Na huku.
Wewe pia hujafika?Wanakuja
Utamtia aibu wife wako timba alone.
Ngoja tusubiri wenyejiNdo wapi huko mbona sipafahamu mie.
NdiyoWewe pia hujafika?
Iyo hennessy bei gani mkuu nimeki mwaka mpya nikanunuemkuu kidimbwi iko mbezi beach ya chini kule kawe round about alafu mbele ukitumia google map utafika nikupe tip za kungoa pini nunua Hennessy basi utazungukwa na watoto wazuri tupu ushindwe wewe tu pia usiende na demu utajilaumu milele manake kuna pini za hatari hujapata kuziona
Hahahaa! Nimekupata vizuriDon't take sand to the beach!
Kwakweli hata sijawai kwenda
Viwanja Dar kila siku vipya vinakuja na kuondoka ila Elements iko pale pale kwenye peak miaka yote
Kumbe washamba wa maeneo kama hayo tupo wengi,
Gulio la watu wa 'Haki za binadamu'
Ni eneo la kawaida sana sema tu limefanikiwa kujipa Brand ya kutosha
Kiwanja kile kilikuwa cha Tajiri mmoja mkubwa sana wa Kibaniani hapa Nchini ndio akakiuza 2004 kwa Dada fulan wa Kirangi ambae kakikodisha kwa kina Thuwain
Kutoka kwa zena hadi eneo la tukio kuna umbali gani?Binafsi sijapapenda sana,ila kuna totoz za ukweli hasa mida ya jion..kuna malaya pia wanatega mabuzi ya kuchuna kama kawaida.
Location yake ni unaenda mpaka kule mbezi beach ya chini kuna sehemu inaitwa kwa zena unaingia kulia huko ndani.
Ahsante mkuuSio sehemu nzuri kwenda na watoto ila ni pazuri kubarizi na marafiki kula good time..Kama una usafiri pita njia ya Mbezi Beach kule chini, kuna sehemu kunaitwa kwa Zena Kawawa utaona bango linakuelekeza
Ni pa kawaida sana.
Barabara ya kwenda huko imejaa madimbwi sana. Pia eneo lake ni dogo kuweza kuranda randa. sikushauri kwenda na Familia.
Labda uende Kwa lengo la kunywa kunywa na kusafisha safisha macho na "wasanii" na mademu mademu. Bei ni za kawaida kama sehemu nyingi za Ufukweni.
Namna ya kufika, pita Barabara ya Mbezi chini, ulizia Shoppers Plaza. Barabara ya kuelekea Kidimbwi iko exactly opposite na barabara ya kwenda Shoppers.
Hahahaahaaaaa daaaaah [emoji28] [emoji28]mkuu kidimbwi iko mbezi beach ya chini kule kawe round about alafu mbele ukitumia google map utafika nikupe tip za kungoa pini nunua Hennessy basi utazungukwa na watoto wazuri tupu ushindwe wewe tu pia usiende na demu utajilaumu milele manake kuna pini za hatari hujapata kuziona
25,000/=Iyo hennessy bei gani mkuu nimeki mwaka mpya nikanunue
Mhhhh..si kweli25,000/=