Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah acha tu hakuna cha kuonaPole sana kijana, najua umechapia sana uandishi kwasababu ya maumivu ya vidole...😶
Pole tena kijana wangu, vipi msuli ulipo anguka hakuna kilicho onekana..🤔
Ndio mkuu bado najitafuta sijajipataKumbe na wewe ni mdau wa kukwea boda, be careful mzee huo usafiri ni hatari kwa maisha yako
Ilikuwaje?Leo temboni mwendokasi imewaburuza boda na abiria wake , watu kama wanne wakaaacha uhai pale pale , boda too risk , Bora bajaji Kwa kweli
Nitajua nikifika nyumbaniMuulize kama biringanya halijabasti 😂
MzeePole sana kwa ajali, kikubwa bado u mzima.
I hope ndani ya msuli ulivaa kitu.
Hapo uliingiza woga na kutaka kuruka. Ajali za boda ni tamu, mfano niligonga ng'ombe mkubwa na chombo ilichakaa na Mimi kuchubuka chubuka. Kuna jamaa aligongana na baiskeli baik ilichakaa Sasa zile ndo ajali sio Hiyo unaruka wakati chombo imechanganya.NI
Nini?
He'll
nika mjibu bochi au hindumental hospital
dereva wa Mwendokasi tuu aliamua kuwakatiliIlikuwaje?
Ndio mkuuBoss ulikuwa uswekeni huko
AhahahhHapo uliingiza woga na kutaka kuruka. Ajali za boda ni tamu, mfano niligonga ng'ombe mkubwa na chombo ilichakaa na Mimi kuchubuka chubuka. Kuna jamaa aligongana na baiskeli baik ilichakaa Sasa zile ndo ajali sio Hiyo unaruka wakati chombo imechanganya.
Itakuwa labda nimekosea matamshi ila ipo posta hiiiPole sana aisee. Uwe unawacontrol hao bodaboda.
Na hiyo hindumental ni instrumental ya kihindi au?
[emoji1]
Inanyweka?Mzee mbona imekaa kichai chai hii...
Haya pole
Walijipenyeza?dereva wa Mwendokasi tuu aliamua kuwakatili