Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Shida zetu ndizo zinatufanya tutumie unafikir mimi sipendi kuwa na vanguard?Siupendi usafiri wa boda kwa roho yangu yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida zetu ndizo zinatufanya tutumie unafikir mimi sipendi kuwa na vanguard?Siupendi usafiri wa boda kwa roho yangu yote
Sijaelewa,Ina maana wakakupandisha kwenye bodaboda tena?🤣🤣🤣🤭nikabebwa pale kunipandisha kwenye boda boda.
Hawajui kwamba uliishia la piliNdio mwalimu wngu kipofu
AsanteShukuru umeweza kuandika
KabisaHizo aya za mwisho bila shaka umeandika wakati ajali ndo inatokea.
Ndio.hakuna usafir mwingine na sikutaka kulala poliniSijaelewa,Ina maana wakakupandisha kwenye bodaboda tena?🤣🤣🤣🤭
Tena kwakushikiwa fimboHawajui kwamba uliishia la pili
🤣🤣🤣 Pole sana dogoNdio.hakuna usafir mwingine na sikutaka kulala polini
Inanyweka fresh tu.Inanyweka?
Malawi wana Technologia fulani ambayo ukiandaliwa chakula ule pamoja na wazee, unatakiwa uwe makini sana.Kawavalia msuli, akawamwagia radhi...🤣
Kwa hiyo wewe ni maskini?Ndio mkuu bado najitafuta sijajipata
Asante ndio maisha nitafanyaje🤣🤣🤣 Pole sana dogo
Sure ndugu yangu?Leo temboni mwendokasi imewaburuza boda na abiria wake , watu kama wanne wakaaacha uhai pale pale , boda too risk , Bora bajaji Kwa kweli
Jitahidi usiungue mdomo kunywa pole.pole au kachukue kikombe nikupozeeInanyweka fresh tu.
Duh noma sanaMalawi wana Technologia fulani ambayo ukiandaliwa chakula ule pamoja na wazee, unatakiwa uwe makini sana.
Usije ukafanya kosa la kuanza kuchukua nyama kabla ya wazee, au uwe makini round zako za kuchukua nyama zisiwazidi.
Ikitokea ukafanya makosa hayo, wanachofanya wao ni kufinya vidole. Wakishafinya basi finyango la nyama litabaki linabaki kooni halishuki wala halipandi, yaani kutema huwezi, kumeza huwezi,
Unabaki unajipigapiga kifuani na kuomba maji kwa sauti isiyotoka. Utaucheza huo mziki hadi chakula kiishe na aliyefinya afinyue vidole vyake.
Kilichomtokea ndugu yetu hapa itakua alimuanga either bint au mke wa mzee Mbonde kwa matamanio, mzee mboe aka mund akataka amvue msuli hadharani.
Ee kuna sehemu bila kuvaa culture yao upat ushirikanoHivi msuli ni vazi analothibutu kuvaa mwanaume kijana nyakati hizi!
Pole sana ndugu, maadam upo mzima shukrani kwa Mungu.
Yah am not richKwa hiyo wewe ni maskini?
Am coming bbyBabe njoo nikupe upendo