Lakini hili sio kosa kuu, ni nidhamu tu ya pesa mke wake hana. Mke wangu kuna akaunti tunashare hadi atm card , lakini hata awe na shida vipi haigusi bila sababu zinazoeleweka.Pole sana kosa lako kubwa ulilo lifanya ni kumuonyesha salaryslip..hapo tu
Unastahir kujengewa sanamu mkuu, congoleKama hununui vitu in bulk aisee utamlaumu bure. Hakikisha unanunua chakula kingi,mafuta,sukari na vingine ambavyo havihitaji kutoa hela mfukoni. Na ikiwezekana awe anakuwekea orodha ya vitu unanunua kwa wiki hapo hata elfu 2 kwa siku inatoboa. Muulize pia anamadeni uyalipe huenda pindi mambo hayajakaa sawa alikua anakopa kusupport au kaingia kwenye michezo ile ya vikundi vya wamama daily wanatoana.
Na pia mpe hela mara mojamoja afanyie mambo yake maana lazima kuna vitu alivikosa hasa nguo na vitu vingine vya wanawake na watoto kama unao....anahaki ya ku-upgrade kidogo na kama hujamuweka kwenye bajeti ata-upgrade kwa kuchakachua bajeti.
Mwisho muanzishie kibiashara hata kidogo atajichakachua humohumo
Hili ndilo kosa lake kuu.Pole sana kosa lako kubwa ulilo lifanya ni kumuonyesha salaryslip..hapo tu
Atafunguaje biashara wakati kamshahara kanaulisha ndani ya wiki 3? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumianpesa iwazoeee kikubwa fungua biashara iwe inawasingesha
Umeongea ukweli mkuu, mimi huwa nahakikisha ikifika mwisho wa mwezi nahakikisha kila kitu kimo ndani mafuta, mchele, mahundi, unga n.k Japo mke wangu huwa mafuta anajua kuyatumia hadi raha, nampa na pesa ya matumizi na kwakuwa tupo kijijini nikimpa 30000 inatoboa mwezi japo sometimes nikipata marupu rupu job nampa afanye matumizi yake.Kama hununui vitu in bulk aisee utamlaumu bure. Hakikisha unanunua chakula kingi,mafuta,sukari na vingine ambavyo havihitaji kutoa hela mfukoni. Na ikiwezekana awe anakuwekea orodha ya vitu unanunua kwa wiki hapo hata elfu 2 kwa siku inatoboa. Muulize pia anamadeni uyalipe huenda pindi mambo hayajakaa sawa alikua anakopa kusupport au kaingia kwenye michezo ile ya vikundi vya wamama daily wanatoana.
Na pia mpe hela mara mojamoja afanyie mambo yake maana lazima kuna vitu alivikosa hasa nguo na vitu vingine vya wanawake na watoto kama unao....anahaki ya ku-upgrade kidogo na kama hujamuweka kwenye bajeti ata-upgrade kwa kuchakachua bajeti.
Mwisho muanzishie kibiashara hata kidogo atajichakachua humohumo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] et ngoni migrationSio kila mbuz atakula kwa urefu wa kamba yake wengine hula kwa huruma ya mchungaj wake, wanawake wanajsahau mapema sana kama mlkua kwenye msoto ukipata Chanel anabadlka mpka unajiulza huyu kawaje na kama ulkua na pesa zkapata naul au kaz ikaisha utamwona visa vyake kila kukicha na mabeg yake mgongon kama ngoni migration Leo kwa Dada ake kesho kwao hatulii tena hata ukiongea hakuelew wala kukuskia kikubwa Mungu atupganie tu watoto wa kiume sis
Spikn from Exprienc
Mi mwenyewe aliniulizaga unalipwa shilingi ngapi? Nikamjibu masuala ya mshahara yananihusu mimi mwenyewe, akatulia sometimes huwa wana test mitambo hawa ukijiingiza tu umeisha, Mungu wangu one day slary slip nilikuwa nimeificha kwenye vyeti vyangu siakaiona ila nikampeleka kibabe aisee hawa viumbe bhana.Uliona sifa mwenyewe kumuonesha salary slip mkeo [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo mke wako yeye anabiashara au kazi ya kufanya? Kama hana unaweka house girl wanini mfundishe mkeo kupambana.Baada ya hapo nilijaribu hilo swala, lakini nikaja kugundua hata ufanye nini kama house girl haelewi umuhimu wa kutokuweka mafuta mengi kwenye msosi, yote yanakuwa kazi ya bure.
Onaongea kila siku lakini wapi. Mpaka mama watoto aingie jikoni ndiyo inakuwa furaha yako. Na house girl akishagundua hilo, anakwepa issue ya kupika kwa kumtegea mama watoto apike kila siku. Ni mtihani kwa kweli.
Hoja yangu ni kwamba usinunue mafuta ya kula kwa wingi nyumbani kwako kwa sababu yatatumika vibaya na mwili ndiyo utakao umia. Mambo ya mke wangu achana nayo chief.Huyo mke wako yeye anabiashara au kazi ya kufanya? Kama hana unaweka house girl wanini mfundishe mkeo kupambana.
Umekuja kuomba ushauri au umekuja kupanic? Maana wewe unasema mkeo akiingia jikoni mafuta hayatumiki mengi ila house girl akiingia yanatumika mengi sasa nashangaa maana hata hoja yangu hujaichuja unatoa hoja za kupanic.Hoja yangu ni kwamba usinunue mafuta ya kula kwa wingi nyumbani kwako kwa sababu yatatumika vibaya na mwili ndiyo utakao umia. Mambo ya mke wangu achana nayo chief.
Alafu mkuu hizi hoja zote tunazichangia kwa mtoa uzi ukiona nime Quote post yako ujue tunachangia kwa mtoa uzi sijasema kumhusu mkeo kwahiyo tuliaaaa.Hoja yangu ni kwamba usinunue mafuta ya kula kwa wingi nyumbani kwako kwa sababu yatatumika vibaya na mwili ndiyo utakao umia. Mambo ya mke wangu achana nayo chief.
Asante mkuu na Mimi nitanufaika na huu ushauriKama hununui vitu in bulk aisee utamlaumu bure. Hakikisha unanunua chakula kingi,mafuta,sukari na vingine ambavyo havihitaji kutoa hela mfukoni. Na ikiwezekana awe anakuwekea orodha ya vitu unanunua kwa wiki hapo hata elfu 2 kwa siku inatoboa. Muulize pia anamadeni uyalipe huenda pindi mambo hayajakaa sawa alikua anakopa kusupport au kaingia kwenye michezo ile ya vikundi vya wamama daily wanatoana.
Na pia mpe hela mara mojamoja afanyie mambo yake maana lazima kuna vitu alivikosa hasa nguo na vitu vingine vya wanawake na watoto kama unao....anahaki ya ku-upgrade kidogo na kama hujamuweka kwenye bajeti ata-upgrade kwa kuchakachua bajeti.
Mwisho muanzishie kibiashara hata kidogo atajichakachua humohumo
Sijaja kuomba ushauri, nilikuwa nachangia mada.Umekuja kuomba ushauri au umekuja kupanic? Maana wewe unasema mkeo akiingia jikoni mafuta hayatumiki mengi ila house girl akiingia yanatumika mengi sasa nashangaa maana hata hoja yangu hujaichuja unatoa hoja za kupanic.
Mquote mleta uzi sasa. Mimi unaniquote kwa sababu gani?Alafu mkuu hizi hoja zote tunazichangia kwa mtoa uzi ukiona nime Quote post yako ujue tunachangia kwa mtoa uzi sijasema kumhusu mkeo kwahiyo tuliaaaa.
Mkaanga sumu orijinale๐Sasa ulipomwambia unalipwa 2M ulitegemea nini? Acha achezee vikoba vyake hio laki moja na kimsingi jua tu kuwa anacheza mchezo wa elfu 40 kwa week huyo ๐๐๐ ili akipokea aanze ujenzi kwao!
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mkaanga sumu orijinale๐
Katika vitu mama wa rafiki yangu alituusia kuhusu ndoa ni "Kamwe usimhurumie mwanaume; apply pressure"
Wewe apply tu pressure wanaume wanajua wapi pa kupata pesa. Usijibane bane watazitafuna wenzio
Mkaanga sumu orijinale[emoji23]
Katika vitu mama wa rafiki yangu alituusia kuhusu ndoa ni "Kamwe usimhurumie mwanaume; apply pressure"
Wewe apply tu pressure wanaume wanajua wapi pa kupata pesa. Usijibane bane watazitafuna wenzio
Namiee nita apply pressure kwenye maeneo yangu yale utajua hujui๐ ๐ ๐Mkaanga sumu orijinale๐
Katika vitu mama wa rafiki yangu alituusia kuhusu ndoa ni "Kamwe usimhurumie mwanaume; apply pressure"
Wewe apply tu pressure wanaume wanajua wapi pa kupata pesa. Usijibane bane watazitafuna wenzio