joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja
dogo hiyo hela ndogo sana na sana..
gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..
tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.
haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..
hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..
nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..
kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..