Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Mwanaume wa kitanzania akipata visenti tu, kinachofata ni mke!
Mbona hiyo 1.2 ni kiduchu sana.


Any way, all the best mkuu!

- KANA -
Jamani kama ni pesa nitakuwa nazo, huo mshahara nimetaja chanzo changu kimoja tu cha kipato, siwezi kuanika kila ktu...na ni vizuri nikajionyesha sina ili atakaenipenda anipenda kwa hali zote hasa akijua mimi ni potential au nina future au nina uwezo. Natafuta mwanamke/binti anayeweza kuvumilia maisha ya kujinyima, kuzichanga na kuheshimu pesa.
 
Huyu ndo muhenga Aliyesema MASIKINI AKIPATA MATAK ULIA MBWATAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kama ni pesa nitakuwa nazo, huo mshahara nimetaja chanzo changu kimoja tu cha kipato, siwezi kuanika kila ktu...na ni vizuri nikajionyesha sina ili atakaenipenda anipenda kwa hali zote hasa akijua mimi ni potential au nina future au nina uwezo. Natafuta mwanamke/binti anayeweza kuvumilia maisha ya kujinyima, kuzichanga na kuheshimu pesa.
 
1.2m hata kama ni net, ni vijisenti tu, visikutie kiwewe. Wasichana wanaojitambua wala hatakukubali
 
Jamani kama ni pesa nitakuwa nazo, huo mshahara nimetaja chanzo changu kimoja tu cha kipato, siwezi kuanika kila ktu...na ni vizuri nikajionyesha sina ili atakaenipenda anipenda kwa hali zote hasa akijua mimi ni potential au nina future au nina uwezo. Natafuta mwanamke/binti anayeweza kuvumilia maisha ya kujinyima, kuzichanga na kuheshimu pesa.
wewe tulia tushakuelewa
 
Nyie mnajadili mshahara pekee, ashawaaambieni ana dili zingine za M2 au 3 hivi.... Nazo mbona hamzijadili?
 
Jamani kama ni pesa nitakuwa nazo, huo mshahara nimetaja chanzo changu kimoja tu cha kipato, siwezi kuanika kila ktu...na ni vizuri nikajionyesha sina ili atakaenipenda anipenda kwa hali zote hasa akijua mimi ni potential au nina future au nina uwezo. Natafuta mwanamke/binti anayeweza kuvumilia maisha ya kujinyima, kuzichanga na kuheshimu pesa.
Kila la kheri mkuu!

- KANA -
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Mkuu asante kwa ushauri, ila naomba uelewe jambo moja...ninaoa ni mimi, sio mshahara wangu au pato langu... mean mimi ndio mwanaume ninaeoa.
 
......Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
Kila la kheri, ila uwe makini hapo kwenye kula vizuri panahitaji uwezo mkubwa kifedha unless kama kula vizuri kwako kuna tafsiri sawa na ya huyo mtarajiwa. Mimi nakumbuka mwaka flani wakati naanza anza kazi tu hapo nimetoka kijijini kwetu, basi vile vimishahara vya mwanzo mwanzo nilijiona kama nina pesa za kutosha maana by then nilikua na Net pay ya Tshs562,500 ilikua ni hela ndefu sana kwangu, kipindi hicho unaagiza Suzuki Vitara toka Japani mpaka unaimiliki hata Milioni5 haifiki, siku nikapata Girlfriend hapa Dar alafu alikua chuo tu, siku moja nimemuahidi kwamba toka asubuhi nataka nimpe good time wkend nzima, tulianzia Ijumaa jioni mpaka Jpili jioni kwa hizi siku tatu, ilisambaratika zaidi ya 350,000 ndo nikagundua kula good time nikujuako mimi siyo kule anakojua yule bint, I thank god toka siku ile nikaacha kujishaua kwa mabinti hatimae nikapata mwanamke tunayeweza kufanya maisha kiutu uzima
 
Back
Top Bottom