#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Embu funguka mkuu kwa faida ya wengine


Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Unatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
 
Ujanjaujanja Mwingi Unafki Bhalaa!!!
 
Huyu kakariri sayansi ya kwenye kitabu hataki kwenda na wakati.
Ndiyo elimu ya Bongo hiyo. Hata ukimwamsha usiku wa manane atakutajia hizo hatua. Mwambie sasa hata ajaribu kutengeneza chajo ya kuku! Ila pengine siyo mbumbumbu kiasi tunachodhani. Anajitoa ufahamu ili kumfurahisha aliyemteua. Ni aibu kwa profesa kuongea hivi wakati maelezo yote kuhusu hizi chanjo yamefafanuliwa kwa kina.
 
Huwezi kutamba huku na huko bila tahadhari hata kama umechanjwa. Sababu zake zimeshalezwa na zipo wazi. Unaweza ku-gogle.
 
Mule mule mkuu.

Hata mimi nimeona pengine anajua somo, anazuga kutetea kibarua kisiote majani tu.
 
Najibu kulingana na kauli za niliemjibu. Nikilazimika kuchanja nitachanja. Ila kwa hiari yangu sichanji. Hata huko zinapotoka wapo watu wasiotaka chanjo.
 
Nikilazimika nitachanja, kama silazimiki sichanji. Simple as that.
 
Huwezi kutamba huku na huko bila tahadhari hata kama umechanjwa. Sababu zake zimeshalezwa na zipo wazi. Unaweza ku-gogle.
Zipi hizo? Kwamba ukichanjwa uendelee kuvaa mask na kukeep distance?

Bottom line is there is a lot of unknown info about these vaccines. Hawasemi hizo dose mbili zitaishiwa nguvu lini au ukishachomwa basi hutohitaji kuchomwa tena
 
Mie natamani sana hao wanaokataa chanjo waugue....huu ugonjwa mie naweza kesha siku nzima nikihadithia jinsi unavyotesa... unanyong'onyeza mno kwa muda mrefu nowonder wazee inawaonda mapema sana..ni mateso makali sana
ilikuchukua mda gani hadi ukarecover?
 
Asante sana mkuu kwa kututoa matongotongo.
 
Anahoji kwanini serikali haitaki chanjo huku watu wanapoteza maisha.

Ulivyo na Ego mbaya huoni tunavyopoteza maprof, padres, doctors, lawyers etc kwa mijitu mibinafsi kama nyie.

Black is misfortune, I can agree.
Sua imepoteza wasomi had unakaa chini na kusema Eh Mungu nini hiki...
 
Mimi na ukoo wangu mpana wa huko Mwanza, Mbeya, na marafiki zangu wote waishio mikoa mbalimbali hapa nchini wote tupo salama kabisa wala hatuna wasi, kuumwa mafua hatujaanza leo ni ugonjwa ambao unatushika wakati wa vumbi na pale hali ya hewa inapobadilika (baridi). Hatuhitaji chanjo na maisha yanaendelea kama kawaida, wala hatuhitaji ushauri wa kutumia hayo madude yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…