#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Hujui ulisemalo, usiombe yakukute
Mimi nilishaugua na nikapona mkuu labda wewe immunity yako iko chini ndiyo maana unapata shida. Kunywa vidonge vya zinc na limao sana au NIMRCAF
 
Splendid.
Huu ndio uzalendo.
Serikali ikichukua hatua, maisha yataokolewa.
 
Pole sana Wangari Maathai Mimi ni spana mkononi yaani naishi kwa hofu sana
 

Sasa ww umenielewa..sasa mm ilipanda had kjchwan nikawa kama naweweseka..twna naweweseka kimatendo🤣..nimelala naugulia maumv naamka navaa naingia kwa gari nandoka siag mtu..nikifika sehwm miguu inakataa kbs hata kukanyaga brek sijui kukanyaga mafuta inakataa inatetemeka..najikura nasimama road naanza kulia..unaulizwa unaenda wap namwambia boda nipeleke hosp naumwa .hahaa...yaan nilikua naweweseka mno..nimefanya twice..nyingune nikaenda bar namwambia mhudumu anipelek hosp naumwa🤣..hapo nikaagiza nyama hata 1 hailiki...yaan mm imenitenda vby sana shenz zake
 
Pole sana lakini ulikuwa unachukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa? Juzi Jumamosi nilienda mall nilipoingia ndani nilishangaa na kuogopa sana kwa umati watu uliokuwemo mle ndani. Pamoja na kuwa nilikuwa nimevaa barakoa lakini nilikosa amani kabisa nikaondoka baada ya dakika chache tu.
Leo jion ndo nimeanza hisi kupona..pilipili nimeiskia ulimini niogopa mno hii kitu kwasasa
 
Barakoa nilivaa niliposafiri..ss nilipougua nikawa nahis kufa..naogopa hata kukwambia ..nilikua naparamia dirisha uso nautoa nje ..sijavaa...ningekufa mazima
 
Inakuwa hivyo kwa kuwa mwilini oxygen imepungua hivyo unaona kama unakabwa vile hivyo unahitaji oxygen zaidi.
Barakoa nilivaa niliposafiri..ss nilipougua nikawa nahis kufa..naogopa hata kukwambia ..nilikua naparamia dirisha uso nautoa nje ..sijavaa...ningekufa mazima
 
Nilikua nakata pilipili nasugua ulimi sisikii kitu...nimeteseka sana...nilikua nahis kama natafuna toilet paper ..nikishika sm inaanguka kwaajil ya kutetemeka...alafu mume akawa ananiogopa mno ...hahaa dada wa kazi amenipambania mno.. .ajabu na madk hawakua na barakoa
 
Mbn mkuu ww mzembe sana washasem kuwa chanjo ni mRn vaccine hivyo ikiingia katika mwili inaingia katika DNA inaamul kuzalisha protein itakayo zaliz kinga za kupingana na virus vya ugonjwa huo kwa maana hiyo itachukua muda kuonyesha matokeo na moja ya matokeo kuleta kizaz chenye mapungufu ya mfumo wa urithi sasa ww unakuja unaongeaaa oooh mkuu wa nchi mjinga unadhani anafanya maamuzi kujikinga ww mkuu kuna madiaspora wengine wanajitambua lakini www huna
 
Inakuwa hivyo kwa kuwa mwilini oxygen imepungua hivyo unaona kama unakabwa vile hivyo unahitaji oxygen zaidi.
Sasa mwanangu alikua ananifungua nguo ananipepea na gazeti..hahaa...hapana jaman..kweoi lazima wazee wetu lazima wafe tu...Dk ameniambia sasa imagine ww ( mm)ni mzima je yule aliyekua ana sukari au hiv au presha .hafurukuti siku 3 kwisha habari yake..jamani mm naadabu zote kwasasa
 
Hujafa tu ili tuweke Tanzia hapa JF. Wahi basi unatuchelewesha kutangaza Tanzia mkuu.
Wewe bodaboda inaweza kukuzoa na kukubwaga mtaroni halafu wewe ndio Tanzia itakuja humu

Acha kuombea wenzako maradhi.
 
[emoji23] Duh! Wewe kweli ilikutenda vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…