Nimepata huduma mbovu kutoka kwa Mfanyakazi wa NHIF - Dar, imebidi Kiongozi wake wa juu aingilie na kuniomba radhi

Swaddakta
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kwanini lakini, dah nimecheka Kwa sauti
 
Ofisi na taasis za serikali wengi hawajielewi.. customer care sifuri Tena sifuri... ndio maana nimechagua kuwa na pesa huduma nying nazifata private sector,, zenye ulazima uko serikalini natumia vishokaπŸ˜…πŸ˜…

Namwomba Mungu mpaka namalizia safar duniani nisikanyage hzo ofisi kichefuchefu za serikali.
 
Dah sawa Tajiri mkopeshaji nimekusoma
 
Unajua kwanini? Wiki ya mteja Huwa wanatafuta watu (ushers) WA kuhudumia wateja Huwa sio wao ndio maana huduma zinakuwa nzuri, ila watoa huduma WA kule ndani Zero😟😟😟
Ni walewale. Wa pale nawajua. Jamaa pale dirishani alikiwa muunhwana hadi nikashituka ndani kwa ndani
 
Lakini haya ni matokeo ya jamii tuliyoamua kuitengeneza.
Huko vyouni na mashuleni kuna watu wanasoma kozi ili mradi wahitimu wapate mshahara.
Ile spirit ya kuhumdumia mteja hawana.

tumesoma na watu ,unaona kabisa wateja katika eneo lake watapata tabu sana.

Kibaya hawa watu wanaachwa tuu,

Hebu fikiria kuna mfanyakazi ni mchelewaji, mlevi awapo eneo la kazi, anajibu wateja vibaya.
kwa sababu kashindikana , anaamishwa na kupelekwa kitengo cha supervision.
Yaani asimamie utendaji kazi wa wafanyakazi wenzie.

HUu mfano umewahi kutokea kwenye moja ya Taasisi Kubwa hapa Nchini.
 

Nilipoteza kadi ya NHI na kupeleka ripiti ya polisi ili nipewe nyingine. Waliniambia niwe natumia kadi ya NIDA kwa vile nilikwishawapa wakaisajili kwao. Je huu ndio utaratibu? Kuna sehemu wanahitaji waone kadi
 
Usijali, siku nikiwa Rais taasisi za umma watalipwa mshahara kulingana na mapato ya taasisi husika isipokuwa TRA!
Hakuna kundi la Watu wajinga kama watumishi WA serikali, ndio maana yakistaafu wanakufa mapema.
 
Sasa ungeulizwa swali aliloulizwa na polisi mstaafu kwanini anashinda vijiweni hatafuti kazi si ungezimia.
 
Ww pale pale alipokwambia kwahiyo........ilitakiwa umjibu matko yako
 
Ni mbaya sana kiongozi, na Hali hii ndo tushailea na itatucost sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…