She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
-
- #261
Kwahyo binadamu wote duniani ni waislam?Naam. Wote toka tunazaliwa tunajisalimusha kwa Muumba wetu mpaka wengine wanapopobadilishwa.
Uislam ni imani pejee ambayo haipingani na nafsi yako.
Dah! We jamaa bana😆Tatizo walimu mnadhani kila sehemu watu wana shida kama nyie.
Namjua mtu kigoma analipwa 12M na ni black kuliko nywele zake. Akitembea uchi usiku mnaona nywele tu zinatembea
Waislamu 80% ni weziItakujengea nidhamu ya maisha.
Uwe Muuislam wa kuufata Uislam na mafundisho yake, siyo kuwa Muislam jina.
Sijuwi umefanya utafiti upi, lakini hata kama umezuwa tu ha watakuwa ni Waislam jina tu.Waislamu 80% ni wezi
Anza kwa kuweka akiba kwanza, huku ukitafakari nini cha kufanya. Fanya kazi kwa juhudi na maarifa, daima ukijituma na kujiongeza. Ishi kama fukara kwa kipindi cha mwanzo, uhakikishe una kama milioni 100 benki, hapo uufanye uamuzi wa busara tunaanza kupambana vipi kuutokomeza umasikini na ujinga ili ccm wasikuburule tena!!Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Unajua aje naye yuko kiwango cha wazungu? Sidhani kama UN inaangalia mzungu na MTz hasa kama kazi na wajibu ni huo huo.Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Sasa madam mimi sijaja kuomba ushauri wa kuwa bora. Mimi naomba ushauri wa kuwa tajiri.
Kwanini umeamua kunichanganyia madesa kwa makusudi?
Kwani Mitandaoni hakuna wenye busara?.Ulishawahi kuona wapi mtu mwenye busala anataka ushauri kwenye mitandao?
ni sawa mimi sijataka kujua hahaKwahyo jf hakuna ushauri au?
Watu tumeanza kulipwa hizo hela miaka ya 80 tumekaa kimya tu.
AsanteeeHongera sana
Nina economic discipline kubwa sana,niaminMkuu hii kazi huiwezi. Milion 10 ni nyingi sana kwako utashindwa kuitumia utabaki kulalamika mwishowe nitaonekana mbaya.
Hv na ww una Amin jobless kapata Kazi ya mil 10, au. Seriously [emoji23]Chukua ushauri huu muhimu sana utakujenga.
Wekeza kwenye ardhi nje ya hapo ni kilio tu.
Nunua mashamba panda miti, kesho utauza miti utauza viwanja,Jenga nyumba za kupangisha self self achana na nyumba nzima mtihani kumpata mpangaj,Jenga hostel,guest.
Simamia mwenyewe Kama huna mda zijichimbie hizo pesa bank fixed hadi ukipata mda yaani likizo au mkataba ukiisha.
Milioni 10 unaomba Ushauri Mtandaoni jinsi ya Kutoka Umasikini ?? Una Akili kweli Wewe ?Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Utamiliki viumbe visivyoonekana vya kukuletea mpungaHii itanisaidiaje kuutoroka umasikini?
Kaka,uandae migebuka tu na siyo na kichakata mbususu piaWala usijali 😊
Agreed 100% . Hata mimi nilikuwa kama ningetoa ushauri basi ningecheza kwenye angle hizi hizi.Chukua ushauri huu muhimu sana utakujenga.
Wekeza kwenye ardhi nje ya hapo ni kilio tu.
Nunua mashamba panda miti, kesho utauza miti utauza viwanja,Jenga nyumba za kupangisha self self achana na nyumba nzima mtihani kumpata mpangaj,Jenga hostel,guest.
Simamia mwenyewe Kama huna mda zijichimbie hizo pesa bank fixed hadi ukipata mda yaani likizo au mkataba ukiisha.
Bro kweli ww mzima wa akili sio punguani unapata zali la mentali unaleta huo mchongo wako ili iweje hujui binadamu kama wabaya wewe kauzu nini .Omba dua hiyo kazi uipate kwanza na uiweze ,mambo hayo ya kazi ni siri yako usimwage mchele kwenye kuku wengi haya kila la kheri .Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.