Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Anza kwa kuweka akiba kwanza, huku ukitafakari nini cha kufanya. Fanya kazi kwa juhudi na maarifa, daima ukijituma na kujiongeza. Ishi kama fukara kwa kipindi cha mwanzo, uhakikishe una kama milioni 100 benki, hapo uufanye uamuzi wa busara tunaanza kupambana vipi kuutokomeza umasikini na ujinga ili ccm wasikuburule tena!!
 
Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Unajua aje naye yuko kiwango cha wazungu? Sidhani kama UN inaangalia mzungu na MTz hasa kama kazi na wajibu ni huo huo.
 
Chukua ushauri huu muhimu sana utakujenga.
Wekeza kwenye ardhi nje ya hapo ni kilio tu.
Nunua mashamba panda miti, kesho utauza miti utauza viwanja,Jenga nyumba za kupangisha self self achana na nyumba nzima mtihani kumpata mpangaj,Jenga hostel,guest.
Simamia mwenyewe Kama huna mda zijichimbie hizo pesa bank fixed hadi ukipata mda yaani likizo au mkataba ukiisha.
Hv na ww una Amin jobless kapata Kazi ya mil 10, au. Seriously [emoji23]
 
Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Milioni 10 unaomba Ushauri Mtandaoni jinsi ya Kutoka Umasikini ?? Una Akili kweli Wewe ?
Anza na Kutoomba Ushauri Mitandaoni wa Jinsi ya Kutumia Milioni 10....Kama Kweli Umazipata na Sio just Wishful thinking...!!!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Chukua ushauri huu muhimu sana utakujenga.
Wekeza kwenye ardhi nje ya hapo ni kilio tu.
Nunua mashamba panda miti, kesho utauza miti utauza viwanja,Jenga nyumba za kupangisha self self achana na nyumba nzima mtihani kumpata mpangaj,Jenga hostel,guest.
Simamia mwenyewe Kama huna mda zijichimbie hizo pesa bank fixed hadi ukipata mda yaani likizo au mkataba ukiisha.
Agreed 100% . Hata mimi nilikuwa kama ningetoa ushauri basi ningecheza kwenye angle hizi hizi.
ile ya kuingiza BOT-Bond , yes ila mpaka ukiwa na pesa ya kutosha.
 
Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Bro kweli ww mzima wa akili sio punguani unapata zali la mentali unaleta huo mchongo wako ili iweje hujui binadamu kama wabaya wewe kauzu nini .Omba dua hiyo kazi uipate kwanza na uiweze ,mambo hayo ya kazi ni siri yako usimwage mchele kwenye kuku wengi haya kila la kheri .
 
Back
Top Bottom