Naomben ushauri nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa. Ni mtu wa Kondoa ni mrembo sana
Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue mtu mzima tu?
Najiuliza kwakua bado ni mdogo Labda baadae atakuja kunisumbua kiukweli nipo kwenye mawazo makali sana. Naomben ushauri nimchukue au nimuache nitafute mtu mzima mwenzangu.
Mimi Nina 30 kwa sasa
Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue mtu mzima tu?
Najiuliza kwakua bado ni mdogo Labda baadae atakuja kunisumbua kiukweli nipo kwenye mawazo makali sana. Naomben ushauri nimchukue au nimuache nitafute mtu mzima mwenzangu.
Mimi Nina 30 kwa sasa