Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hata kijijini kikubwa awe 20+.Ni ngumu sana kuwapata, hasa pande za town wengi washachakachuliwa
Sijawahi kuwa na mahusiano siriaz na binti ambae sijambikiri. Ni vile wanakengeuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kijijini kikubwa awe 20+.Ni ngumu sana kuwapata, hasa pande za town wengi washachakachuliwa
Kijijini wapo wachache kajaribuNikipata bikra mwenye 20+ naoa
Kijijini wapo wengi tuHata kijijini kikubwa awe 20+.
Sijawahi kuwa na mahusiano siriaz na binti ambae sijambikiri. Ni vile wanakengeuka
Shida ipo mjiniKijijini wapo wachache kajaribu
itabidi nifanye utalii wa ndaniKijijini wapo wachache kajaribu
Huko ndio pananifaa.Kijijini wapo wengi tu
Ni afadhali ungesema Dodoma tu ili kuficha hiyo kondoa.Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana
Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue mtu mzima tu?
Najiuliza kwakua bado ni mdogo Labda baadae atakuja kunisumbua kiukwel npo kwenye mawazo makali sana.. Naomben ushaur nimchukue au nimuache nitafute mtu mzima mwenzangu.
Mimi Nina 30 kwa sasa
Wanasemaga shortcut ni long cut hio sio shida ya sasa hiyo ni shida ya baadae kama unabisha muulize professa jay kwenye NikusaidiajeBikra zilivyo adimu miaka hii, wewe unapata kitu piru unaleta siasa.
Watu mnapenda matatizo.
Jirani yangu next door ni mrangiUnawajua warangi kweli kiongozi? Aisee!!!
Nikipata bikra mwenye 20+ naoa
Kiukweli kabisa hata mimi nikipata wa hivyo, itabidi niingie kwenye kikao kikali sana na wajumbe wa Chama changu cha Kataa Ndoa kuweza kuangazia Mustakabali wa Uanachama wangu.
Yani ikiwezekana nipewe Uanachama Pacha.... Niwe Kataa ndoa na pia niwe ndoani kimitego mitego.
we nawe umepenyeza kwenye uchochoro gani?,,si nilikufungia nje ukoNi bahati tu wala sio tatizo acha kumtisha mdau
Mm sio mmoja wao kuna rafiki yangu hii ndo kazi yake mpaka now yuko 30+ ila hizo mishe haachi mjinga yule.umejuaje lakini mkuu,,wewe sio mmojawapo kweli?
Na wewe ukioata mwanamke bikra hutaoa kisa shida ya baadae??Wanasemaga shortcut ni long cut hio sio shida ya sasa hiyo ni shida ya baadae kama unabisha muulize professa jay kwenye Nikusaidiaje
Sasa 14yrs hisia zinakuepo au vinabakwa tu apoMm sio mmoja wao kuna rafiki yangu hii ndo kazi yake mpaka now yuko 30+ ila hizo mishe haachi mjinga yule.
Ajabu nae huku below 14 kuna vitoto anakuta wahuni washavibetu tayari, hii dunia hii
Angalia vizuri kuna sehem nimeandila story fupi ya maisha yangu jibu utalipata hapoNa wewe ukioata mwanamke bikra hutaoa kisa shida ya baadae??
Enewei kama unae nipe nimbikiri halafu arudi kwako umuoe.
Yaani kwako mwanamke anaekufaa ni yule aliebanduliwa tayari, ajabu hii.
Mambo yake muachieni mwenyewe...Aweke ndani chombo hiko tena bado kuchanga kabisa!
Heko kwake!!
Mpe mwongozo wa kumkula bikra lo!😊
😂😂😂Muache beki tatu wa watu
Kama kuoa unasubiri ushauri wa watu wa humu basi kazi ipoWakuu mnasemaga humu kama dem sio bikra ukioa unakua umeoa mke wa mtu…. KWAHIYO NIWEKE NDAN HII MALI AU NIACHE TU…. Maomben ushaur wa mwisho nyie ndo mnajua mambo Mengi watu wa hum nawakubal sana akili kubwa